Mihogo mibichi ina nguvu za kipekee?
Ulaji wa mihogo mibichi Dar es Salaam ni maarufu sana miongoni mwa wanaume, wengi ambao hudai inawapa nguvu za kipekee. Ni kweli?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Ugonjwa wa mahindi, mihogo watishia
MAGONJWA ya mazao ya mahindi na mihogo yaliyoikumba Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara yanatishia uwepo wa njaa. Tishio hilo linatokana na baadhi ya wakulima kuanza kung’oa mazao hayo na...
9 years ago
StarTV24 Dec
Wakulima wa zao la mihogo kuanza kunufaika
Wakulima wa zao la muhogokanda ya ziwa wanataraji kufaidika na soko jipya la Muhogo baada ya kupatikana kwa mdau anaye tumia zao hilo kuzalisha chakula cha kuku
Kutokana na uwekezaji huo Sasa wakulima wataokoa zaidi ya asilimia 30 ya sehemu ya muhogo iliyokua ikipotea baada ya kumenywa
Kwa muda mrefu mhogo umekua ukionekana kama zao Duni na wakulima wake kuishi katika dhiki kubwa kutokana na uhaba wa masoko na bei ndogo
Idara ya Chakula na Lishe Nchini Tanzania kwa kushirikia na mradi wa...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Walimu watumia mihogo kuandikia Biharamulo
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-y6WGsuj73tU/VjJtlAn0yWI/AAAAAAAA31k/X7j7SqYXKz0/s72-c/TB-Joshua.jpg)
Haujatimia...Je Nguvu za Binadamu zinaweza Kuzuia Nguvu za Mungu...
![](http://1.bp.blogspot.com/-y6WGsuj73tU/VjJtlAn0yWI/AAAAAAAA31k/X7j7SqYXKz0/s640/TB-Joshua.jpg)
Naleta kwenu msaswali machache ili mpate kunisaidia. Katika tabiri nyingi zilizopata kutabiriwa ndani ya vitabu vitakatifu kama BIBLIA na vinginevyo zimekuwa zikitimia pasipi shaka.Siku za nyuma kidogo huyu nabii anaye itwa TB Joshua Kutoka Nigeria alimtabiria mheshikiwa Edward kuwa ndiye raisi ajaye sasa kila mtu anajua kilicho tokea ni kitugani muda mfupi ulio pita.
SASA NAULIZA HIVI, JE BINADAMU ANAYO MAMLAKA AU NGUVU YOYOTE KATIKA KUBATILISHA KILE KINACHO TAJWA KUWA NI UTABIRI AMBAO...
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Tuone kweli kama ni nguvu ya soda au nguvu ya jua
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Kama chama changu kinataka kushinda, kishinde kwa nguvu ya hoja si kwa nguvu ya dola
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
GPLMAMA: KANUMBA ALIKUWA WA KIPEKEE
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Papa Francis na uongozi wa kipekee
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Tanzania yapata maabara ya kipekee