JK atunuku maofisa 23 JWTZ, Wakongo 414 wahitimu TMA
Rais Jakaya Kikwete jana amewatunukia cheo cha Luteni Usu, Maofisa 23 wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), huku wenzao 414 wa Jamuhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC), waliohitimu nao mafunzo hayo wakisubiri kutunukiwa vyeo vyao watakaporejea nchini mwao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Rais Kikwete ahitimisha mafunzo ya wakongo na atunuku kamisheni kwa watanzania 23
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya viongozi waliohudhuria sherehe hizo Mkoani Arusha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa Kitanzania 23 miongoni mwa maafisa 437 wa kundi la 53/13 – Kongo. Kundi hilo liliwajumuisha maafisa wa kitanzania wapatao 23 na wahitimu 414 kutoka Kongo.
Jumla ya wanajeshi 414 kutoka Jamuhuri ya...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Kikwete atunuku nishani maofisa 30 wa majeshi
RAIS Jakaya Kikwete amewatunuku nishani za utumishi uliotukuka, utumishi mrefu na tabia njema maofisa wa majeshi mbalimbali 30. Kati ya maofisa hao, 10 ni kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), 10 kutoka Jeshi la Polisi na 10 wengine wanatoka Jeshi la Magereza.
9 years ago
Habarileo13 Sep
JK atunuku kamisheni kwa maofisa 166
RAIS Jakaya Kikwete ametunuku kamisheni kwa maofisa wanafunzi 166 wa kundi namba 56/14 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi kilichopo Monduli mkoani Arusha .
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Rais atunuku Nishani za miaka 50 ya JWTZ
Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ, Mkuu wa majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za kutunuku nishani zilizofanyika kwenye ukumbi wa Jenerali Kiwelu wa Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Jeshi Tanzania, Monduli, Septemba 6, 2014.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ baada ya kuwatunuku nishani ...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATUNUKU NISHAJI ZA MIAKA 50 YA JWTZ
9 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE ATUNUKU NISHANI MAOFISA 30 WA MAJESHI
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-eTuBDI-p4fw/VAtmVi_wDFI/AAAAAAAGgYA/63LwP77um6M/s1600/jk1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI ZA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JWTZ
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z*WFeROO64qEs02k8u2rQXYt1GRaNj40ydp2ayp6qJFQcxyUpkb-xpzEMwPxf9MhxJyrrh*dzk18Ox4qx-974hLPEGdbXvlT/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKU KAMISHENI KWA MAOFISA WAPYA WA JESHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvphw4M330/U_naqcc9huI/AAAAAAAGCCA/prtVHdFqP0c/s72-c/D92A6818.jpg)
Rais Kikiwete atunuku Kamisheni Kwa maofisa wapya wa Jeshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvphw4M330/U_naqcc9huI/AAAAAAAGCCA/prtVHdFqP0c/s1600/D92A6818.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2uL9SwL_T64/U_nbSap5drI/AAAAAAAGCDA/8Uny0rfremg/s1600/D92A6822.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oKf1akb7npw/U_naydQIveI/AAAAAAAGCCI/TGACYZdMRa0/s1600/D92A6849.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8uB-31boxjc/U_nazk64-wI/AAAAAAAGCCQ/tDaQAaRSB2s/s1600/D92A6853.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VmmgFaYvspI/U_na9lHSUGI/AAAAAAAGCCY/nHB4SrByYM4/s1600/D92A6874.jpg)