JK atunuku kamisheni kwa maofisa 166
RAIS Jakaya Kikwete ametunuku kamisheni kwa maofisa wanafunzi 166 wa kundi namba 56/14 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi kilichopo Monduli mkoani Arusha .
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRais Kikiwete atunuku Kamisheni Kwa maofisa wapya wa Jeshi
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE ATUNUKU KAMISHENI KWA MAOFISA WAPYA WA JESHI
10 years ago
MichuziJK atunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa jeshi
10 years ago
GPLRAIS JK ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WAPYA WA JESHI
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Rais Kikwete ahitimisha mafunzo ya wakongo na atunuku kamisheni kwa watanzania 23
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya viongozi waliohudhuria sherehe hizo Mkoani Arusha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa Kitanzania 23 miongoni mwa maafisa 437 wa kundi la 53/13 – Kongo. Kundi hilo liliwajumuisha maafisa wa kitanzania wapatao 23 na wahitimu 414 kutoka Kongo.
Jumla ya wanajeshi 414 kutoka Jamuhuri ya...
9 years ago
MichuziRaisi Kikwete atunuku Kamisheni kwa maafisa wapya wa Jeshi katika Chuo cha Jeshi Monduli, JWTZ wamzawadia
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi Afisa mwanafunzi bora Luteni Usu Antony Shija wakati wa sherehe za kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya leo katika chu cha jeshi TMA Monduli leo.
9 years ago
Habarileo02 Sep
Kikwete atunuku nishani maofisa 30 wa majeshi
RAIS Jakaya Kikwete amewatunuku nishani za utumishi uliotukuka, utumishi mrefu na tabia njema maofisa wa majeshi mbalimbali 30. Kati ya maofisa hao, 10 ni kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), 10 kutoka Jeshi la Polisi na 10 wengine wanatoka Jeshi la Magereza.
10 years ago
Uhuru NewspaperSherehe za kutunukiwa kamisheni maofisa wa Jeshi, Monduli.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Jeshi (TMA) Monduli, Brigedia Jenerali Paul Massao (kulia) wakimsindikiza Amiri Jeshi Mkuu, Rais Kikwete kwenda...
10 years ago
MichuziSherehe za kutunuku kamisheni maofisa wa Jeshi - Monduli
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10