Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Harufu’ ya urais ilianzia Kahama

HADI saa nne za asubuhi ya Oktoba 26 mwaka huu, mgombea wa ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),

Waandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SIR GEORGE KAHAMA AMBARIKI MH. MEMBE KUWANIA URAIS WA TANZANIA

 Mwanasiasa mkongwe nchini, Sir. George Kahama akizungumza na wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (wa tatu kushoto waliokaa), alipotangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba, katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana. Wengeni (kutoka kushoto) ni Katibu wa CCM Mkoa wa Lindi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manyoya ya twiga hutoa harufu ya kinga

KATIKA moja ya makala zilizotangulia tuliona kuwa ingawa wanaonekana wanafanana, lakini twiga wanaweza kutofautishwa na mpangilio wa urembo wa rangi zao za ngozi. Leo tuendelee kuangalia sifa za mnyama huyu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Harufu ya Choo yalazimu ndege ya BA kutua

Ndege moja ya shirika la ndege la British Airways imelazimika kutua kufuatia harufu mbaya iliyokuwa ikitokea kwa choo

 

10 years ago

GPL

JOSLIN: SIJAWAHI KUPENDA HARUFU YA BANGI

Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyetamba na ngoma ya Niite Basi, Joslin Robert Mchalla ‘Joslin’ katika pozi. MSANII wa muziki wa kizazi kipya aliyetamba na ngoma ya Niite Basi, Joslin Robert Mchalla ‘Joslin’, amefungua kinywa chake na kusema kuwa hakuwahi kuvuta bangi wala kutumia madawa ya kulevya lakini ‘anazimia’ sana bia, huku akisisitiza yeye na bia ni damudamu.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Taasisi zenye harufu ya ufisadi zatajwa

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Dk. Matern Lumbanga, akizungumza na waandishi wa habari
Taasisi 13 za serikali nchini, ikiwamo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, zimekumbwa na kashfa ya kuwa na viashiria vya rushwa, huku 19 zikiwa zimefanya malipo yenye shaka ya thamani ya Sh. bilioni 1.7 katika manunuzi ya umma kwa mwaka wa fedha 2013/2014.

Pia, kampuni 19 zimefungiwa kushiriki katika zabuni kwenye taasisi za umma nchini kutokana na madai ya kushindwa kutekeleza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

RT: Madudu ya Madola hayana harufu ya Katiba

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, amesema kukosekana kwa katiba katika Shirikisho hilo sio sababu ya wanamichezo kufanya vibaya katika mashindano ya Kitaifa na Kimataifa. Akizungumza...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanayosababisha mdomo kutoa harufu mbaya

Katika maisha ya kila siku inawezekana umewahi kukutana na mtu ambaye ukiwa karibu naye kimazungumzo, utagundua anatoa harufu mbaya mdomoni.

 

11 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili harufu mbaya miguuni

Miguu kutoa harufu mbaya ni tatizo sugu linalowakabili baadhi ya watu katika jamii, wengi wakiwa wanaume.

 

9 years ago

GPL

KWA HARUFU ILE NDOA LAZIMA IFE

Jamaa yangu kaja kunitembelea na mimi nilifurahi sana, maana sijaonana naye tangu tulipokuwa shule miaka hiyo. Kwa hiyo tulianza na stori za shule na kukumbuka wale jamaa wenye vituko tuliosoma nao, na kukumbushana vituko vyao. Kadiri muda ulivyokwenda nikagundua kuwa jamaa hana mpango wa kuondoka kwangu, basi nikajitayarisha kisaokolojia kuwa jamaa atalala hapa kwangu, kwa vile nilikuwa na chumba cha wageni haikunisumbua sana....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani