Airtel yaweka minara miwili ya mawasiliano Ruvuma kijiji cha Muhukulu na Mkenda
Mkuu wa Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Joseph Joseph Mkirikitiamezindua mitambo ya mawasiliano (minara) katikaka kijiji cha Muhukulu
na kuwataka raia wa Tanzania wa vijiji vya Muhukulu, Lalia, Magwamila,
Nakwale, Nambendo, Mkenda, Makwaya, Miputa vyote vya Mkoani Ruvuma na wale wote wanaoishi mipakakani mwa Msumbiji na Tanzania kuwa Walinzi kwa mitambo ya Airtel inayowekwa kwa ajili ya mawasiliano isiharibiwe na watu wasiopenda maendeleo.
Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ffqvx4jdF-o/VbEqWBptAxI/AAAAAAAHrVE/k9L98A2rH7s/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Wakazi wa Kijiji cha Kingwang’oko Tabora wapatiwa huduma za mawasiliano na Airtel
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iSg3z9Dx_EI/VD4V2uS3WLI/AAAAAAACRlc/j1L5zzl642M/s72-c/126.jpg)
BALOZI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MAJENGO YA VIKUNDI VYA UCHUMI KIJIJI CHA MUUNGANO CHA ZOMBA MKOA WA RUVUMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-iSg3z9Dx_EI/VD4V2uS3WLI/AAAAAAACRlc/j1L5zzl642M/s640/126.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCJm0x7KOxc/VD4V-Tx_3cI/AAAAAAACRls/ZRXCv6xHRq0/s640/139.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ti1rivizzn0/VD4V9XrX2jI/AAAAAAACRlk/N3I9BN4ktXc/s640/176.jpg)
10 years ago
MichuziMwijage azindua mradi wa umeme uliobuniwa na wananchi kijiji cha Lilondo mkoani Ruvuma
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amezindua mradi wa umeme wa kiasi cha kilowati 40 uliobuniwa na wananchi katika kijiji cha Lilondo, wilaya ya Songea Vijijini, mkoani Ruvuma ambapo jumla ya nyumba 100 zimeshafaidika kwa kuunganishwa na huduma ya umeme.
Akiwa ameambatana na mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, Naibu waziri Mwijage, alitembelea na kukagua mitambo pamoja na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXbO*i3q5NIT95733kyKHvlGA-F6zYS3ApIi6vBrlQvAxzTbDaOpXoAXQrMJ*H6QqCnwCHvK7T-s16syRViNf3Zy/1.jpg?width=650)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSIKITI MKUU WA IJUMAA WA KIJIJI CHA PERAMIHO, RUVUMA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0vMev7woWv4/VD5HZYZzb5I/AAAAAAAGqlQ/nJsSU5TKufQ/s72-c/056.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi aweka jiwe la Msingi la Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Kijiji cha Peramiho,Ruvuma
Balozi Seif alieleza hayo wakati wa hafla fupi ya kuweka jiwe la Msingi la Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Kijiji cha Peramiho uitwao Masjid Jidah akiwa katika ziara ya siku mbili Mkoani Ruvuma kukagua shughuli za maendeleo, kiuchumi pamoja na ustawi...
11 years ago
MichuziAirtel yawezesha mafunzo kwa wafanyakazi wa Afya kijiji cha Mbola Tabora
11 years ago
GPLAIRTEL YAWEZESHA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA AFYA KIJIJI CHA MBOLA TABORA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s72-c/unnamed+(18).jpg)
JK afungua kituo cha afya na kukagua kilimo cha Kahawa Mbinga, afungua soko la kimataifa mkenda
![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tl73CbvjXCY/U8zIBzTX1II/AAAAAAAF4Qg/w1OhpjJGz_s/s1600/D92A6133.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi