SIKONGE YAAGIZWA IANZE KUTIBU WANANCHI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YAKE
NA TIGANYA VINCENTIDARA ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imeagizwa kuhamia katika jengo la Utawala katika Hospitali ya Wilaya hiyo na waanze kutoa huduma ya watibabu kwa wananchi.
Kauli hiyo imeolewa jana na Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Peres Magiri wakati akitoa salamu za Serikali katika Kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu
Alisema wakati wakiendelea kusubiri vifaa tiba na vifaa vingine kwa ajili ya Hospitali hiyo ya Wilaya ni vema wakaanza na utoaji wa huduma za matibabu kwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV12 Nov
Halmashauri ya Tanga yaagizwa kuandaa mipango ya ujenzi wa hospitali ya wilaya.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza aagiza halmashauri ya wilaya ya Mkinga kumueleza namna watakavyojenga hospitali ya wilaya ifikapo mwezi Januari mwaka kesho.
Mahiza ambaye amehamishiwa hivi karibuni katika mkoa huo akitokea mkoani Pwani amesema ni jambo la aibu kwa halmashauri ya Mkinga ambayo imeanzishwa miaka mingi iliyopita kukosa hospitali ya wilaya.
Halimashauri ya wilaya ya Mkinga iliyoanzishwa kwa takribani miaka sita iliyopita kwa lengo la kusogeza huduma karibu na...
5 years ago
MichuziRC Wangabo aagiza “Special Audit†huku zaidi ya Milioni 660 kutofahamika matumizi yake katika ujenzi hospitali ya Wilaya.
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Magufuli aendelea na mikutano yake ya kampeni Wilaya ya Sikonge, Kaliua, Ulyankulu na Urambo mkoani Tabora
![](http://1.bp.blogspot.com/-whkRJaPECDg/Vfhq3mZ_yHI/AAAAAAAH5H4/1rkTFPoYIGs/s640/_MG_6799.jpg)
wakazi hao katika uwanja wa Kolimba,kwenye mkutano wa hadhara wa
kampeni. PICHA NA MICHUZI JR-URAMBO,TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FC-UIWnIXdc/Vfhq3ndSqgI/AAAAAAAH5H8/5HjcDOb4pRk/s640/_MG_6805.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q3oimARiEOs/Vfhq4fPVThI/AAAAAAAH5II/2ZGswOgXy20/s640/_MG_6812.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7g7Mf17iq4/Vfhq7zPSIrI/AAAAAAAH5IQ/JQF651Dl3pw/s640/_MG_6828.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-whkRJaPECDg/Vfhq3mZ_yHI/AAAAAAAH5H4/1rkTFPoYIGs/s72-c/_MG_6799.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI WILAYA YA SIKONGE,KALIUA,ULYANKULU NA URAMBO MKOANI TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-whkRJaPECDg/Vfhq3mZ_yHI/AAAAAAAH5H4/1rkTFPoYIGs/s640/_MG_6799.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FC-UIWnIXdc/Vfhq3ndSqgI/AAAAAAAH5H8/5HjcDOb4pRk/s640/_MG_6805.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q3oimARiEOs/Vfhq4fPVThI/AAAAAAAH5II/2ZGswOgXy20/s640/_MG_6812.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7g7Mf17iq4/Vfhq7zPSIrI/AAAAAAAH5IQ/JQF651Dl3pw/s640/_MG_6828.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WXsMGaxiHVM/XuUNFsYnILI/AAAAAAALts8/1hTk8tFdfbQpG_goTxCSv7z7nOHoOCAVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0024.jpg)
WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Halmashauri, Wilaya na Majiji yaagizwa kutenga bajeti ya kugharamia huduma za watu wenye Albinisim
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2015, Juma Khatib Chum,akizindua mradi wa kilimo cha umwangiliaji cha vitunguu kijiji cha Nkungi wilaya ya Mkalama.Chum aliagiza vijana waache kukaa vijiweni na badala yake waelekeze nguvu zao katika shughuli mbalimbali zitakazowapatia kipato ikiwemo kilimo cha umwangiliaji.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Fadhili Nkurlu, akizungumza na wakazi wa kijiji cha Dominiki wakati mbio za mwenge wa uhuru.
Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru 2015, Juma...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Hospitali ya Aga Khan sasa kutibu saratani
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10