Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA MABIBO BIA NA JESHI LA POLISI YAFANYA SEMINA SHIRIKISHI MKOANI MOROGORO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP), Leonard Paul (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (kushoto) na Mshauri wa Kampuni ya Mabibo, Kamala Stephen baada ya kufungua semina hiyo katika Hoteli ya Top Life mjini Morogoro.Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (katikati), akizungumza katika semina hiyo. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma wa Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA MABIBO BIA NA JESHI LA POLISI YAFANYA SEMINA SHIRIKISHI MKOANI MOROGORO‏

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi Mwandamizi  (SACP), Leonard Paul (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (kushoto) na Mshauri wa Kampuni ya Mabibo, Kamala Stephen baada ya kufungua semina hiyo katika Hoteli ya Top Life mjini Morogoro.  Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (katikati), akizungumza katika semina...

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA AHAMASISHA ULINZI SHIRIKISHI MKOANI MWAKE

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda akiongoza mafunzo ya ulinzi shirikishi kwa vijana wa Mkoa huo,yaliyofanyika leo tarehe 20.06.2014 katika shule ya msingi Idudumio iliyopo tarafa ya Nyasa wilaya ya Nzega. Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda akikabidhi zawadi mbali mbali kwa vijana walioshiriki kwenye Mafunzo ya Ulinzi Shirikishi.

 

5 years ago

Michuzi

SAMIRO PHARMACEUTICAL YAFANYA SEMINA HOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD JIJINI DAR

Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimkabidhi zawadi Kaimu Kamanda wa Polisi Kikosi cha Afya SSP Dk. Gerald Magesa ambaye pia ni afisa Mnadhimu mkuu wa kikosi.



Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimkabidhi zawadi Mganga Mkuu wa Hospitali ya Polisi Kilwa Road SP. Dk. Cleophace Mtana.



Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimsikiliza SSP Abdalla Mpalilo wakati akitoa shukurani zake kwa niaba ya Hospitali hiyo.



Meneja Mkazi wa SAMIRO...

 

10 years ago

GPL

KAMATI YA BUNGE KILIMO, MAJI NA MIFUGO YAFANYA ZIARA MKOANI MOROGORO

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya kilimo, maji na mifugo,Prof. Peter Msola (shati nyeupe) akiongoza kamati yake kukagua mradi wa maji wa Mambogo manispaa ya morogoro.Katikati ni Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla. Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla (kushoto) akiongea na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya kilimo, maji na mifugo,Prof. Peter Msola walipotembelea mradi… ...

 

10 years ago

Michuzi

kamati ya bunge kilimo,maji na mifugo yafanya ziara mkoani morogoro

Kamati ya Bunge ya kilimo, maji na mifugo inayoongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Peter Msola imefanya ziara katika mkoa wa Morogoro kwa kutembelea kijiji cha Fulwe,mradi wa maji wa Mambogo manispaa Morogoro na mradi maji mikumi.
Aidha tarehe 22 Januari ,2015 kamati hiyo itatembelea wilaya ya Kilolo na manispaa ya Iringa na tarehe 23 kamati itatembelea wilaya ya Rungwe.Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya kilimo, maji na mifugo,Prof. Peter Msola (shati nyeupe) akiongoza kamati yake kukagaua mradi...

 

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA USAMBAZAJI WA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2012 YAFANYIKA MKOANI MOROGORO

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu akitoa maelezo mafupi wakati wa Semina ya Usambazaji wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 iliyofanyika leo mjini Morogoro. Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 Hajjat Amina Mrisho Said akitoa maelezo mafupi ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro wakati wa Semina ya Usambazaji wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 iliyofanyika leo mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANZA WAIKUBALI WINDHOEK WAFURAHIA MPANGO WA MABIBO BIA KUJENGA KIWANDA

Wadau wa Windhoek ndani ya Villa Park Resort katika promosheni hiyo.Hapa shughuli imepamba moto waalikwa wakimsikiliza Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr.James Rugemalira.
Dotto Mwaibale

WAKAZI wa jiji la Mwanza na mikoa jirani ya Kanda ya Ziwa, wamefurahishwa na uwekezaji unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya Bia ya Mabibo (MBL) kwa ajili ya kujenga kiwanda cha bia za Windhoek.

Wakizungumza katika promosheni iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Mwanza juzi katika ukumbi wa Villa Park...

 

10 years ago

Vijimambo

Jeshi la polisi lawashushia kipigo wafuasi wa Chadema Morogoro.


askari polisi kuzingira barabara na maeneo kadhaa ya jiji hilo baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kuendelea na maandamano hayo licha ya kuzuiwa na polisi.

Hata hivyo, maandamano hayo yaliyopangwa kupinga kuendelea kwa Bunge Maalumu la Katiba, mjini Dodoma, hayakufanyika.

Chadema jana ilitangaza kufanyika kwa maandamano katika mikoa ya Arusha, Iringa na Morogoro ambapo Jumatatu yangefanyika mikoa ya Manyara, Kilimanjaro, Mbeya , Mwanza , Musoma na Tanga.

Baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

KIKAO CHA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI CHAANZA LEO MKOANI MOROGORO

  Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akitoa hotuba ya ufunguzi leo Mei 26, 2015 kwenye Kikao cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza nchini kinachofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Edema, Mkoani Morogoro.  Wajumbe wa Kikao ambao ni  Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza nchiniwa kifuatilia kwa makini hotuba ya Mgeni rasmi, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil(wa kwanza kushoto) ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es Salaam,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani