KAMATI YA BUNGE KILIMO, MAJI NA MIFUGO YAFANYA ZIARA MKOANI MOROGORO
![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL8LHtRYCzzdfD-5TTaytROMQqpMx7x3*uu3Q51k087a4tWtdqqMkQDllc0Uej5BcJ0py7mDXiHajX*KJTfA2zPy/unnamed9.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya kilimo, maji na mifugo,Prof. Peter Msola (shati nyeupe) akiongoza kamati yake kukagua mradi wa maji wa Mambogo manispaa ya morogoro.Katikati ni Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla. Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla (kushoto) akiongea na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya kilimo, maji na mifugo,Prof. Peter Msola walipotembelea mradi… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nGV1nQg4G_k/VL9he4wa0oI/AAAAAAAG-pA/VSb9CAK9MyY/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
kamati ya bunge kilimo,maji na mifugo yafanya ziara mkoani morogoro
Aidha tarehe 22 Januari ,2015 kamati hiyo itatembelea wilaya ya Kilolo na manispaa ya Iringa na tarehe 23 kamati itatembelea wilaya ya Rungwe.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nGV1nQg4G_k/VL9he4wa0oI/AAAAAAAG-pA/VSb9CAK9MyY/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yaridhishwa na miradi ya maji ya Kibiti, Ikwiriri
Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu (kushoto) akimuongoza Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi aliyeambatana na wajumbe wengine wa kamati hiyo baada ya kuwasili ofisi za Mradi wa Maji Kibiti ulioko wilayani humo mkoani Pwani kabla ya kuukagua.Ukaguzi wa mradi huo ni sehemu ya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara inayofanywa na wajumbe wa Kamati hiyo.
Hussein Makame, MAELEO, Pwani
KAMATI ya Bunge ya Kilimo,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KXVgcI-rDfk/VMC_RaOFMWI/AAAAAAAG-5g/xuNYnhhLACA/s72-c/unnamedT1.jpg)
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Yatembelea Miradi ya Maji Tanzania Bara
![](http://2.bp.blogspot.com/-KXVgcI-rDfk/VMC_RaOFMWI/AAAAAAAG-5g/xuNYnhhLACA/s1600/unnamedT1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LYGqpjXhDG4/VMC_Q27voUI/AAAAAAAG-5c/mb9Cb6qdZg0/s1600/unnamedT2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wvBn_MX1K7g/VMC_QbtPs0I/AAAAAAAG-5U/guW5CHTMGC8/s1600/unnamedT3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s72-c/IMG-20150122-WA007.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA KILIMO, MAJI NA MIFUGO YARIDHISHWA NA MIRADI YA MAJI ILIYOTEKELEZWA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s1600/IMG-20150122-WA007.jpg)
Kamati ya Maji, Mifugo na Uvuvi imeridhishwa na miradi mbalimbali ya Maji iliyotekelezwa kwa kipindi cha miaka 10 ya kuwapatia wananchi huduma ya Majisafi na kupunguza tatizo la uhaba wa Maji hapa nchini.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Maji Mh. Selemani Kakoso Wakati wa ziara ya kamati katika kuangalia...
10 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yatembelea Bwawa la Kuzalisha Umeme la Merowe,nchini Sudan
Mradi wa Bwawa la Merowe ni mkubwa katika nchi ya Sudan na mbali na kuzalisha umeme, pia unatumika kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji ambacho kwa aslimia mia kinategemea Mto Nile.
Aidha, mradi wa bwawa hilo pia umechangia kuleta...
10 years ago
MichuziKAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI YATEMBELEA SUDAN
Lengo la ziara hiyo ni kupata uelewa wa pamoja kuhusu ushirikiano uliopo katika kusimamia na kuendeleza rasilimali za Bonde la Mto Nile kati ya Nchi wanachama, huku Tanzania na Sudan zikiwa ni miongoni mwao.
Katika ziara hiyo Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe ambaye ameambatana na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qn1jmIpbtdU/VU2x22kX3iI/AAAAAAAHWVY/06fNnyVCSLw/s72-c/Untitled1.png)
KAMATI YA BUNGE YA HUDUMA ZA JAMII YAFANYA ZIARA HESLB
Akizungumza baada ya taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi kuwasilishwa, Kaimu Mwenyekiti wa Kamati Mhe. Gregory Teu amesema kuwa yeye na wanakamati wenzake wamejifunza kwa kina kupitia ziara hiyo na kwamba bila...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E__U5BbZ4ds/VN35HrgjTHI/AAAAAAADYDw/O8hns7XBiec/s72-c/20150212_104312.jpg)
Kamati ya Bunge ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi yafanya ziara ya kikazi Jijini Dubai
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ofzHefzvsl4%2FVN35Ga40rSI%2FAAAAAAADYDk%2FH7mmydBfuM8%2Fs1600%2F20150212_104038.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E__U5BbZ4ds/VN35HrgjTHI/AAAAAAADYDw/O8hns7XBiec/s1600/20150212_104312.jpg)
Aidha, Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliongozana na Kamati. Ziara hii fupi imekuwa ya mafanikio makubwa, kwani kamati pamoja wajumbe wengine wamekubaliana masuala muhimu ambayo wameona yanafaa kuishairi Serikali...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1