MWANZA WAIKUBALI WINDHOEK WAFURAHIA MPANGO WA MABIBO BIA KUJENGA KIWANDA
Wadau wa Windhoek ndani ya Villa Park Resort katika promosheni hiyo.
Hapa shughuli imepamba moto waalikwa wakimsikiliza Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr.James Rugemalira.
Dotto Mwaibale
WAKAZI wa jiji la Mwanza na mikoa jirani ya Kanda ya Ziwa, wamefurahishwa na uwekezaji unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya Bia ya Mabibo (MBL) kwa ajili ya kujenga kiwanda cha bia za Windhoek.
Wakizungumza katika promosheni iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Mwanza juzi katika ukumbi wa Villa Park...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWANAHABARI MBEYA WATEMBELEA KIWANDA CHA BIA CHA TBL NA KUSHIRIKI SHINDANO LA KUONJA BIA
Katika shindano hilo, Mzoefu Saada Matiku ambaye ni mwandishi wa Chanel Ten aliibuka kidedea kwa kupata alama tano kwa tano ikiwa ni mara ya pili tangu apate nafasi kama hiyo kwenye mashindano ya mwaka juzi.
washindi wengine ni Kenneth Ngelesi wa Tanzania Daima aliyeibuka mshindi wa pili huku Merali Chawe wa Daily news...
10 years ago
Vijimambo6TH ANNIVERSARY GROOVEBACK PARTY 2014 YAFANA NA BIA YA WINDHOEK DRAUGHT NDANI YA THE ARCADE HOUSE
10 years ago
Vijimambo13 Nov
KAMPUNI YA MABIBO BIA NA JESHI LA POLISI YAFANYA SEMINA SHIRIKISHI MKOANI MOROGORO
10 years ago
GPLKAMPUNI YA MABIBO BIA NA JESHI LA POLISI YAFANYA SEMINA SHIRIKISHI MKOANI MOROGORO
10 years ago
MichuziZIARA YA WAHARIRI KIWANDA CHA BIA TBL MBEYA
Meneja wa Kiwanda cha Bia Mbeya, Waziri Jemedari aliwaambia Wahariri...
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Wanahabari washinda uonjaji bia za TBL Mwanza
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/-d9vWRgXz1PrhSEla983iQ3fBv0ZQFmpmBLiLInvG2XhKTwdZ4iaoIuL-bPwU0_nq1OR5yqX7NDdLRSVK6HfTfI-RQpcXRUYOnAoy-WXIgJMx7gbXPxjx1Lf59cxYGqVGjdb9l-uQiomYbsHZOKH6Q3L-Pzl2A4xZnbGzvllvlxTFlP_unT061FWBpn58E_H5YsIKSXKuSkbDMfb7wUhvtzNGvgQs8M__P41WHlLbMNXlCQq4XsERmzIWa7pkSyTqgr1n-N4sT7rxH-8d1IjOlnMzVPIKh2rqQR-3GJkkEQymCSZrWVASVRqTqoUd7g_bwPzvIRoFnPaqopd1Uadm5pUf9VfTNrxe-VwUZL-=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-KniDZRbFbkw%2FVArtGRf7QQI%2FAAAAAAABEVI%2FSKe8lXMdcAQ%2Fs1600%2F0.1Balimi%252BMwanza22.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
katika kutambua rangi akiuhusisha huyu ni mshindi wa kwanza wa shindano
la Beer Tasting Competition kwa wanahabari (Muonjaji Bora wa Bia) Aidan
Mhando wa Mwananchi Communications akizibainisha bia katika ungwe ya
pili ya na ya mwisho ya shindano hilo.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/FDw6BUgcMG_9KJMZKiHPkU_-MkGsZpopWjolW-8pWBZDmbPkAjEIOQRDpYFUmz0gA61WTYBmylfN9jFjguHwnVfIZxwPtyyoQpBC4MpwyINdgUu6PEXxiN-RIhorG6HGRphJfA_FcN2lkUf-lIfx5MxRJQniDZ7J4kSEd_qEhRVAaD-5MH6UywOwzKiPSM8hpE0mIgB1x-raRsG_5cl3lgowSMOoZNHDgKfV6PO31aQH5yryjxSu8fszcgOhfxvC81otoXkSlQ4z2n_29-5OAa7iySq-ed4Bw7W8vOMuTV9qqh58ThvcQgP1i8yoKPSg7rsKKI0KFw9MVhQdAB0l8lXrt4oimprR9aOy9kU=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-POL_MuVxR3E%2FVArsgVYItTI%2FAAAAAAABETQ%2F89YuLRYHGT4%2Fs1600%2F0.1Balimi%252BMwanza2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
kabla ya shindano la uonjaji bia, Mpishi mkuu wa Kampuni ya Bia TBL
tawi la Mwanza Oscar Kilasi alitoa somo kwa waandishi hao juu ya
kuzibaini tofauti za bia kupitia ladha, rangi, harufu na viwango vya
alcohol.
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/WvBxu2pRd1ufqOgr9jBGnwG8ETLa-bddK_0DOew-TrK5djirB0CIOGA5k3kdJHYIqydgXrZNwwvjBWg5d-I1RlTe1ClirzJSqSw-a2m69KhDAPdPgh8KB8kEAoXRWiX0514FDVWloyBO0MJwzu8yuM_gBGqFkH6bp6TUlQc-jVodgBY1cewsXb7ez2wiur072HhI8Rgw1cWKy2J2SFSnGGoIPp7DOFxskYfNHRdmY4Abtou_DAiD7SZ6nr7NXkZkzlbTl50gMptoZwrXtetOurNezffDMoOEduRfGzdRZaGlCdVhq5tUUKlO7F-8Kaq8ENujVh-975NlVtWP4yDfGe2Td7qsXMdL4YTErAk=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-IRln1BYSHQM%2FVArsiraSMoI%2FAAAAAAABETY%2Fe0laP7H_Zu8%2Fs1600%2F0.1Balimi%252BMwanza1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Wakorea kujenga kiwanda Dar
KAMPUNI kubwa ya kuoka mikate na bidhaa nyingine za ngano nchini Korea Kusini, Rapang, ina mpango wa kujenga kiwanda kikubwa cha mikate jijijni Dar es Salaam na vituo vya mauzo sehemu mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari kutoka Tanzania mjini Daegu mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Rapang, Byoung-Hee Choi, alisema Tanzania itakuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuwa na kiwanda cha namna hiyo.
“Mipango hii itatekelezwa ndani ya muda mfupi ujao na baada ya...
9 years ago
Habarileo07 Oct
Magufuli amshawishi Mo kujenga kiwanda Singida
MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli amemshawishi aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mohammed Dewji, kujenga kiwanda mkoani humo, ili pamoja na mambo mengine, kupunguza uhaba wa ajira.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10