Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANZA WAIKUBALI WINDHOEK WAFURAHIA MPANGO WA MABIBO BIA KUJENGA KIWANDA

Wadau wa Windhoek ndani ya Villa Park Resort katika promosheni hiyo.Hapa shughuli imepamba moto waalikwa wakimsikiliza Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr.James Rugemalira.
Dotto Mwaibale

WAKAZI wa jiji la Mwanza na mikoa jirani ya Kanda ya Ziwa, wamefurahishwa na uwekezaji unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya Bia ya Mabibo (MBL) kwa ajili ya kujenga kiwanda cha bia za Windhoek.

Wakizungumza katika promosheni iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Mwanza juzi katika ukumbi wa Villa Park...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANAHABARI MBEYA WATEMBELEA KIWANDA CHA BIA CHA TBL NA KUSHIRIKI SHINDANO LA KUONJA BIA

WAANDISHI wa Habari Mkoa wa Mbeya hivi karibuni walifanya ziara ya kutembelea kiwanda cha bia TBL Mbeya ambapo pia walipata nafasi ya kushiriki mashindano ya kuonja bia.
Katika shindano hilo, Mzoefu Saada Matiku ambaye ni mwandishi wa Chanel Ten aliibuka kidedea kwa kupata alama tano kwa tano ikiwa ni mara ya pili tangu apate nafasi kama hiyo kwenye mashindano ya mwaka juzi.
washindi wengine ni Kenneth Ngelesi wa Tanzania Daima aliyeibuka mshindi wa pili huku Merali Chawe wa Daily news...

 

10 years ago

Vijimambo

6TH ANNIVERSARY GROOVEBACK PARTY 2014 YAFANA NA BIA YA WINDHOEK DRAUGHT NDANI YA THE ARCADE HOUSE

Meneja Biashara wa Bia ya Windhoek Joseph Boniface akielezea kuhusiana na Grooveback Party ambayo wao wamekuwa wadhamini wakuu kwa mwaka 2014 katika kutimiza miaka sita ya Grooveback Wa pili kushoto ni Msimamizi  wa Windhoek Salum Kabanda akielezea ni jinsi gani wanavyotoa fursa kwa vijana na kuweza kuitumia hususani kwa wanamuziki ambapo wanaandaa matamasha mbalimbali na kuweza kuwa wadhamini wakuu hivyo kuwapa changamoto vijana kwa kuweza kuandaa michanganuo mbalimbali ya kazi kuifikisha...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA MABIBO BIA NA JESHI LA POLISI YAFANYA SEMINA SHIRIKISHI MKOANI MOROGORO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP), Leonard Paul (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (kushoto) na Mshauri wa Kampuni ya Mabibo, Kamala Stephen baada ya kufungua semina hiyo katika Hoteli ya Top Life mjini Morogoro.Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (katikati), akizungumza katika semina hiyo. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma wa Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi...

 

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA MABIBO BIA NA JESHI LA POLISI YAFANYA SEMINA SHIRIKISHI MKOANI MOROGORO‏

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi Mwandamizi  (SACP), Leonard Paul (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (kushoto) na Mshauri wa Kampuni ya Mabibo, Kamala Stephen baada ya kufungua semina hiyo katika Hoteli ya Top Life mjini Morogoro.  Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (katikati), akizungumza katika semina...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA WAHARIRI KIWANDA CHA BIA TBL MBEYA

 WAHARIRI 22 wa Vyombo vya habari mbali mbali nchini jana walifanya ziara kwenye Kiwanda cha Kampuni ya  Bia Tanzania(TBL) wakiongozwa na Jukwaa la Wahariri Tanzania(TEF).Katika ziara hiyo Wahariri hao walipata maelezo mbali mbali kutoka kwa  Mkurugenzi Mkuu wa TBL,Roberto Jarrin kuhusu hali ya kibiashara ya kampuni hiyo pamoja na bidhaa zinazozalishwa kisha kutembelea mitambo ya kutengeneza Bia.
Meneja wa Kiwanda cha Bia Mbeya, Waziri Jemedari aliwaambia Wahariri...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanahabari washinda uonjaji bia za TBL Mwanza

Umakini
katika kutambua rangi akiuhusisha huyu ni mshindi wa kwanza wa shindano
la Beer Tasting Competition kwa wanahabari (Muonjaji Bora wa Bia) Aidan
Mhando wa Mwananchi Communications akizibainisha bia katika ungwe ya
pili ya na ya mwisho ya shindano hilo. Awali
kabla ya shindano la uonjaji bia,  Mpishi mkuu wa Kampuni ya Bia TBL
tawi la Mwanza Oscar Kilasi alitoa somo kwa waandishi hao juu ya
kuzibaini tofauti za bia kupitia ladha, rangi, harufu na viwango vya
alcohol.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Wakorea kujenga kiwanda Dar

KAMPUNI kubwa ya kuoka mikate na bidhaa nyingine za ngano nchini Korea Kusini, Rapang, ina mpango wa kujenga kiwanda kikubwa cha mikate jijijni Dar es Salaam na vituo vya mauzo sehemu mbalimbali nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari kutoka Tanzania mjini Daegu mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Rapang, Byoung-Hee Choi, alisema Tanzania itakuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuwa na kiwanda cha namna hiyo.

“Mipango hii itatekelezwa ndani ya muda mfupi ujao na baada ya...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli amshawishi Mo kujenga kiwanda Singida

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli amemshawishi aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mohammed Dewji, kujenga kiwanda mkoani humo, ili pamoja na mambo mengine, kupunguza uhaba wa ajira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani