Bwege ashinda, Mangungu aanguka Kilwa
ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Murtaza Mangungu amepoteza kiti chake hicho, huku jirani yake, Selemani Bungala (Bwege) wa Kilwa Kusini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) akirejea bungeni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Mar
MSIKILIZE MBUNGE WA KILWA MHE. MUTAZA MANGUNGU AKICHAMBUA FAIDA ZA URAIA PACHA
![](http://polis.parliament.go.tz/images/Pictures/1638.jpg)
11 years ago
GPL![](http://polis.parliament.go.tz/images/Pictures/1638.jpg?width=650)
MSIKILIZE MBUNGE WA KILWA MHE. MUTAZA MANGUNGU AKICHAMBUA FAIDA ZA URAIA PACHA
Mhe. Mutaza Mangungu mbunge wa Kilwa kwa tiketi ya CCM akiongea na Vijimambo mchana wa leo Jumamtatu March 17, 2014 kutoka Dodoma na kuelezea faida ya Uraia pacha Msikilize hapo chini.
Â
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/o2YfjSxCLe0/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Mangungu awapiga madongo Ukawa
Mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaz Mangungu amewapiga madongo Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuwa wameungana kwa sababu wamechoka.
10 years ago
Vijimambo16 May
'Bwege' adai wananchi ndio wameochoka kuibeba Serikali ya CCM
Alisema wapo wabunge wanaoitetea serikali, kwa kuibeba, lakini wapo wabunge wanaofanya kazi zao za kuikosoa.
Akichangia hotuba ya mwelekeo wa kazi za serikali, makadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka 2015/16 iliyowasilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OoB60r5IwgA/UwdkWnnFHkI/AAAAAAAFOn8/aBYfO3uETQU/s72-c/photo.jpg)
MH. MULTAZA MANGUNGU AZUNGUMZIA URAIA PACHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OoB60r5IwgA/UwdkWnnFHkI/AAAAAAAFOn8/aBYfO3uETQU/s1600/photo.jpg)
Habari za Wakati huu ! Nimekuwa nikifuatilia mijadala na maoni mbalimbali kupitia mitandao na wengine walionitumia e-mail au kunipigia simu. Kwa Kuwa mawasiliano yetu hayakuwa bayana nilidhani nitoe ufanunuzi kuhusu suala la uraia pacha (Dual citizenship ) . Awali ya yote Naomba radhi sana ikiwa maelezo ninayotoa nitamkwaza yeyote ila naomba...
10 years ago
Mwananchi24 Jun
‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni
Nakumbuka wakati nikiwa shule ya msingi, mwalimu wa Kiswahili alikuwa akipendwa sana na wanafunzi na siri kubwa ilikuwa aina yake ya ufundishaji wake.
9 years ago
Bongo503 Oct
Bushoke aweka wazi kuwa wimbo wa ‘Mume Bwege’alipewa na mtu
Bushoke ni miongoni mwa waimbaji na watumbuizaji wazuri waliowahi kukamata chati nyingi za muziki miaka kadhaa iliyopita kupitia hits zake mbalimbali ikiwemo ‘Mume Bwege’. Kitu ambacho huenda mashabiki wengi walikuwa hawakifahamu ni historia ya wimbo huo ambao mpaka leo Bushoke akiuimba kwenye matamasha huwa unapata shangwe nyingi sana. Bushoke amesema kuwa idea ya wimbo huo […]
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6f3PXTlpPbg/VhIog_NN_fI/AAAAAAABhzg/iCnN7rGW-10/s72-c/mangungu_01.jpg)
MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6f3PXTlpPbg/VhIog_NN_fI/AAAAAAABhzg/iCnN7rGW-10/s640/mangungu_01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZQK82ZD4vAI/VhIogzhfWgI/AAAAAAABhzc/ccRWMb4t4aQ/s640/mangungu_03.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c-gOEd6_w1Y/VhIokOWJzwI/AAAAAAABh0U/3mrOoWqlfUM/s640/mangungu_08.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania