MSIKILIZE MBUNGE WA KILWA MHE. MUTAZA MANGUNGU AKICHAMBUA FAIDA ZA URAIA PACHA
Mhe. Mutaza Mangungu mbunge wa Kilwa kwa tiketi ya CCM akiongea na Vijimambo mchana wa Jumamtatu March 17, 2014 kutoka Dodoma na kuelezea faida ya Uraia pacha. Msikilize hapo chini
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://polis.parliament.go.tz/images/Pictures/1638.jpg?width=650)
MSIKILIZE MBUNGE WA KILWA MHE. MUTAZA MANGUNGU AKICHAMBUA FAIDA ZA URAIA PACHA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OoB60r5IwgA/UwdkWnnFHkI/AAAAAAAFOn8/aBYfO3uETQU/s72-c/photo.jpg)
MH. MULTAZA MANGUNGU AZUNGUMZIA URAIA PACHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OoB60r5IwgA/UwdkWnnFHkI/AAAAAAAFOn8/aBYfO3uETQU/s1600/photo.jpg)
Habari za Wakati huu ! Nimekuwa nikifuatilia mijadala na maoni mbalimbali kupitia mitandao na wengine walionitumia e-mail au kunipigia simu. Kwa Kuwa mawasiliano yetu hayakuwa bayana nilidhani nitoe ufanunuzi kuhusu suala la uraia pacha (Dual citizenship ) . Awali ya yote Naomba radhi sana ikiwa maelezo ninayotoa nitamkwaza yeyote ila naomba...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vh-3rx4t0eU/U6XgjRydMAI/AAAAAAAFsM0/G1yUlRLHHKs/s72-c/article-2664390-1EF91EAA00000578-51_636x382.jpg)
FAIDA YA URAIA PACHA - DUGU MOJA, LAKINI NCHI TAFAUTI INAWEZEKANA KABISA.....
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vh-3rx4t0eU/U6XgjRydMAI/AAAAAAAFsM0/G1yUlRLHHKs/s1600/article-2664390-1EF91EAA00000578-51_636x382.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sAsW2ezq-LI/U6XhkWhomlI/AAAAAAAFsNA/RqpJN3djCuM/s1600/boatengs_2679756b.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kAXfjm4U3Jo/U1l5ZYFZ3VI/AAAAAAAFcvE/CbrYfmAIhZs/s72-c/10294462_10154034980515247_474516434794562394_n.jpg)
9 years ago
Habarileo29 Oct
Bwege ashinda, Mangungu aanguka Kilwa
ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Murtaza Mangungu amepoteza kiti chake hicho, huku jirani yake, Selemani Bungala (Bwege) wa Kilwa Kusini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) akirejea bungeni.
10 years ago
Habarileo30 Aug
Uraia pacha wabezwa
SUALA la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa na uzalendo kupungua.
10 years ago
Mtanzania25 Sep
Uraia pacha wakataliwa
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na mwandishi Wetu
RASIMU ya Katiba inayopendekezwa imezika rasmi suala la uraia pacha. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mjadala kuhusu uraia pacha, huku Watanzania wanaoishi nje wakishinikiza kiwepo kipengele kwenye Katiba kinachoruhusu suala hilo.
Akiwasilisha rasimu hiyo jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba, Andrew Chenge, alisema hakutakuwa na uraia pacha isipokuwa watu wenye asili ya Tanzania ambao hawana uraia watapewa hadhi maalumu.
“Kamati ya Uandishi ilifanya utafiti...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Kizungumkuti cha uraia pacha
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...