Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchimbaji jasi wawatesa wazawa Kilwa

Jasi (Gypsum) ni moja ya madini yanayopatikana nchini, yamekuwa yakitumika zaidi kwa shughuli za ujenzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TCME WASHIRIKIANA NA VETA KATIKA KUTOA MAFUNZO YA UCHIMBAJI MADINI KWA WAZAWA‏

Mgeni Rasmi katika sherehe za mwaka za Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (Tanzania Chamber of Minerals and Energy) Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akizugumza kwa niaba ya Waziri kwa wageni waalikwa na mabalozi. Mwenyekiti wa Tanzania Chamber of Minerals and Energy, Joseph Kahama akizungumza wakati wa sherehe hizo jana usiku katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wageni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uwaziri wawatesa Lembeli, Maige

SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli kutoa taarifa yake bungeni iliyowang’oa mawaziri wanne, vita kali imeibuka kati yake...

 

10 years ago

Mwananchi

Mzimu wa Nyerere wawatesa wagombea urais

Dar es Salaam. Jina la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere limeibuka ghafla na kwa nguvu baada ya makada wanaowania kupitishwa na CCM kuanza kutangaza nia, huku wengi wao wakionyesha kuaminiwa na muasisi huyo wa Taifa na wengine kuahidi kufuata miiko aliyoiweka wakati alipoongoza Serikali ya Awamu ya Kwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumo wa ulipaji kodi wawatesa wafanyabiashara

Umoja wa Wafanyabiashara Tanzania umeiomba Serikali kuboresha mfumo wa utozaji kodi kwa kutumia Mashine za Kieletroniki za Malipo (EFD) kwa kuwa makato wanayokatwa hayalingani na thamani ya ununuzi wa bidhaa husika.

 

10 years ago

KwanzaJamii

UHABA WA MAJI ILULA WAWATESA WANANCHI

Na Zainab Maeda, Iringa Maji ni uhai na maji yana matumizi mengi katika maisha ya kila siku ya binadamu, wanyama na hata viumbe vingine hai, ikiwemo mimea. Lakini kwa wakazi wa Mji Mdogo wa Ilula uliopo Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, upatikanaji wa maji kwao ni kitendawili cha miaka mingi sasa kwani ni tatizo sugu. Ilula ni mji unaosifika kwa biashara mbalimbali hususan zao la nyanya na vitunguu, hali inayoufanya uwe na mkusanyiko mkubwa wa watu kutoka maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Usafiri wawatesa abiria wa Moshi, Arusha

>Uhaba wa mabasi yanayokwenda  mikoa ya Kilimanjaro na Arusha umeendelea kuwatesa abiria wa mikoa hiyo hali iliyowalizimu  wagombee mabasi ya usafiri wa  jijini hapa maarufu  kama ‘daladala’ ambayo yameruhusiwa kufanya safari katika mikoa hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake, watoto hatarini mgodini Geita maisha wawatesa waishio

Baadhi ya wanawake katika machimbo ya Nyarugusu wilayani Geita wakiwa wabeba watoto wao mgongoni wameendelea kufanya kazi ya kuponda mawe bila kujali maradhi yanayoweza kuwapata watoto wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Gesi kuwafaidisha wazawa

Watanzania wataanza kunufaika na gesi asilia mwakani baada ya megawati 1,500 za umeme unaotokana na gesi asilia pekee kuanza kuzalishwa, jambo linaloelezwa kuwa litapunguza gharama kwa watumiaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Wazawa watakiwa kuiga China

Watanzania wametakiwa kujifunza masuala mbalimbali ya kibishara na ukuzaji wa viwanda kwa wawekezaji kutoka China.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani