Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


magufuli mpanda

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mpanda wakati akiwasili kwenye viwanja vya Azimio tayari kwa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM ambapo alihutubia wananchi hao waliojazana kwa wingi. Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Mpanda mkoani Katavi na kuwaambia wananchi hao kuwa hatokuwa na msamaha kwa watu wasiotimiza majukumu yao.
 Waziri Mkuu Mhe. Mizengo pinda akimtambulisha Mgombea wa Urais wa CCM...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

DC Mpanda amtolea uvivu mhandisi

MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Paza Mwamlima, amempa  siku saba Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda,  Albert Kinyando, kuhakikisha jengo la Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya...

 

5 years ago

CCM Blog

MPANDA, KATAVI KWAZIDI KUNOGA


Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Selemani Jafo anaendelea na ziara yake Mkoani Katavi, ambapo leo baada ya kuongea na watumishi wa Manispaa ya Mpanda ameweza kuzindua Barabara za Mpanda mjini ambazo zinajengwa kupitia Mradi wa ULGSP, Mkoani hapo.‘‘Hakika Mpanda mmepata Barabara nzuri hizi ni zakiwango cha Juu na haya ndio mapenzi wa Rais Magufuli kwa wananchi wake wa Mpanda hongereni sana” Waziri Jafo

 

11 years ago

Poaching Cases

Mpanda court disposes of 43 anti


Mpanda court disposes of 43 anti-poaching cases
Daily News
THE Mpanda District Magistrate's Court in Katavi Region has already heard and determined 43 cases which were instituted by the Tanzania National Parks (TANAPA) during the anti-poaching drive, better known as Operesheni Tokomeza, late last year.

 

11 years ago

GPL

ISABELA MPANDA, KALAMA WAZINGUANA KINOMANOMA

Stori: Gladness Mallya
WALE wapenzi wa muda mrefu, Luteni Kalama na Isabela Mpanda hivi karibuni walizinguana kinomanoma baada ya Kalama kwenda kumchomoa kwa nguvu mpenzi wake huyo akiwa bandari ya Dar es Salaam alikokuwa akifanya taratibu za kwenda Zanzibar kushuti filamu. Chanzo chetu kilichokuwa eneo la tukio kilisema: “Sisi tulishangaa kumuona Kalama anakuja akiwa amefura, alipomuona tu Isabela akamchukua kwa nguvu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Mpanda akemea watendaji wanaoendekeza posho

MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Paza  Mwamlima,  amekemea  tabia ya viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda kukimbilia  kuhudhuria  kwa wingi kwenye vikao wanavyolipwa posho na kuvikimbia  visivyo na posho....

 

11 years ago

Daily News

Mpanda man takes 70 years for rape


Mpanda man takes 70 years for rape
Daily News
MPANDA District Court in Katavi Region has sentenced a resident of Mtisi Village in Mlele District, Forensi Alberto (34), to 70 years in jail after finding him guilty of two counts of defiling and sodomizing his minor step daughter aged ten years. The judgement ...

 

10 years ago

Daily News

Dar finalises compensation for Mpanda residents


Dar finalises compensation for Mpanda residents
Daily News
THE government has finalized paying compensation to Mpanda residents who were relocated to pave the way for construction of an airport in Mpanda, Rukwa Region. Deputy Minister in Prime Minister's Office (Regional Administration and Local ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani