Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPANDA, KATAVI KWAZIDI KUNOGA


Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Selemani Jafo anaendelea na ziara yake Mkoani Katavi, ambapo leo baada ya kuongea na watumishi wa Manispaa ya Mpanda ameweza kuzindua Barabara za Mpanda mjini ambazo zinajengwa kupitia Mradi wa ULGSP, Mkoani hapo.‘‘Hakika Mpanda mmepata Barabara nzuri hizi ni zakiwango cha Juu na haya ndio mapenzi wa Rais Magufuli kwa wananchi wake wa Mpanda hongereni sana” Waziri Jafo

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

habari toka wilayani mpanda mkoa wa katavi

 Mkuu wa wilaya ya Mpanda Mhe. Paza Mwamlima (kaunda suti nyeusi juu kushoto mstari wa pili) akiwa katika kijiji cha Mwese na baadhi ya vijana wajasiriamali wakipewa mafunzo juu ya kujikwamua kimaisha

Mkuu wa wilaya ya Mpanda  Mhe. Paza Mwamlima akiwa katika kijiji cha Kalema katika mwambao wa ziwa Tangayika ambako amekemea uvuvi haramu na kusimamia kuchomwa kwa  nyavu na vyandarua ambavyo vimekamatwa na idara ya uvuvi vikitumika kuvulia samaki. Picha na pasco emmanuel katona,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba kwazidi kufukuta

HALI ndani ya klabu ya Simba inaweza kuzidi kuwa tata, baada ya baadhi ya wanachama wa Simba, leo wanatarajia kwenda Mahakama Kuu ya Tanzania kulishitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yazidi kunoga

Hadi kufikia wakati huu tayari nilikuwa nimejijenga sana kama ripota maalumu wa Sauti ya Amerika, VOA, katika kanda ya Afrika ya Mashariki na Kati.

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaanza kunoga

SIMBA jana iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya URA ya Uganda katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Mechi hiyo ni ya maandalizi ya kujiandaa na Ligi Kuu inayotarajiwa kuanza Septemba 22, mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA YA CHENJI YAZIDI KUNOGA

 Biashara ya kuuza chenji za sarafu imezidi kutoga katika maeneo mengi hapa jijini Dar, kama inavyoonekana pichani. Hapo ukitoa Buku unapata sh. 700 inayobaki inakuwa imekatwa.Upo hapoo???

 

10 years ago

GPL

TMT 2015 YAZIDI KUNOGA

Majaji wa TMT, Rich, Monalisa na Roy Sarungi. Kutoka kushoto ni Tomluck Stephan (Arusha) Vandeline  August (Mbeya) Catherine Nicholaus (Dodoma) na Dennis Laswai…

 

11 years ago

GPL

MAMBO YAZIDI KUNOGA JANGWANI

Beki wa Yanga, Juma Abdul, akichuana na Mwinyi Ndimbo aliyenyuma yake. Jaja (kushoto) na Coutinho. Daktari Juma Sufian akimtibu Hamis Thabit baada ya kuumia kwenye mazoezi hayo.…

 

9 years ago

Habarileo

Ligi daraja la kwanza yazidi kunoga

LIGI daraja la kwanza inatarajiwa kuendelea tena leo kwa michezo tisa katika viwanja tofauti. Ashanti United itamenyana na Polisi Dodoma kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, mechi inayotarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuachana kwa mbali kwenye msimamo kwenye kundi A.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani