Simba yaanza kunoga
SIMBA jana iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya URA ya Uganda katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Mechi hiyo ni ya maandalizi ya kujiandaa na Ligi Kuu inayotarajiwa kuanza Septemba 22, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Simba yaanza na mbinu mpya
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri ameanza kujaribu kupanga kikosi kwa kuangalia nafasi ya mchezaji mmoja mmoja, huku akisema anaangalia ‘kombinesheni’ ya kila nafasi.
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Simba yaanza kusaka mrithi wa Logarusic
Uongozi wa Simba umemuweka kiporo kocha wake, Zdravko Logarusic huku ikianza harakati za kurusha ndoano zake kwa Mserbia Milovan Cirkovic na kocha wa Gor Mahia ya Kenya, Robert Wiliamson ‘Bobby’.
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Simba yaanza timuatimua, yatimua nyota watatu kambini
Uongozi wa Simba, umewatimua kambini nyota wake watatu, Shaaban Kisiga, Amri Kiemba na Harun Chanongo baada ya wachezaji hao kucheza chini ya kiwango katika mechi za Ligi Kuu Bara.
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Mambo yazidi kunoga
Hadi kufikia wakati huu tayari nilikuwa nimejijenga sana kama ripota maalumu wa Sauti ya Amerika, VOA, katika kanda ya Afrika ya Mashariki na Kati.
11 years ago
GPLMAMBO YAZIDI KUNOGA JANGWANI
Beki wa Yanga, Juma Abdul, akichuana na Mwinyi Ndimbo aliyenyuma yake. Jaja (kushoto) na Coutinho. Daktari Juma Sufian akimtibu Hamis Thabit baada ya kuumia kwenye mazoezi hayo.…
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/iaOzRqyQoMs/default.jpg)
MPANDA, KATAVI KWAZIDI KUNOGA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/ggggf-660x400.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2da5qG_3x7c/VS7BU1Pe0-I/AAAAAAAHRYY/i73keuSStQE/s72-c/unnamedw.jpg)
BIASHARA YA CHENJI YAZIDI KUNOGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2da5qG_3x7c/VS7BU1Pe0-I/AAAAAAAHRYY/i73keuSStQE/s1600/unnamedw.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z1YRqLil4I4/VS7BU5VEVNI/AAAAAAAHRYc/W5Mr1caGt8A/s1600/unnamedww.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4UUnqAej8P0UkqJjJxmMXCNS2t3irOmcX9RUHUtmXFtuQlCxTYdzT3GfW28vWTNmIGkYDClsx5x2bfNnpr*y9rx/1.MajajiwaTMTniRichRichMonalisanaRoySarungi.jpg?width=650)
TMT 2015 YAZIDI KUNOGA
Majaji wa TMT, Rich, Monalisa na Roy Sarungi. Kutoka kushoto ni Tomluck Stephan (Arusha) Vandeline August (Mbeya) Catherine Nicholaus (Dodoma) na Dennis Laswai…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TGmYA3d6TSU/U1ZDoJaClnI/AAAAAAAFcTU/sJNwTjGhGpw/s72-c/New+Picture+(1).png)
Michauno ya Heineken foosball yazidi kunoga
![](http://4.bp.blogspot.com/-TGmYA3d6TSU/U1ZDoJaClnI/AAAAAAAFcTU/sJNwTjGhGpw/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYk1tpMTSus/U1ZDyaD7JeI/AAAAAAAFcTc/fpYazFiB9ME/s1600/New+Picture+(2).png)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania