Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaanza kunoga

SIMBA jana iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya URA ya Uganda katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Mechi hiyo ni ya maandalizi ya kujiandaa na Ligi Kuu inayotarajiwa kuanza Septemba 22, mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba yaanza na mbinu mpya

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri ameanza kujaribu kupanga kikosi kwa kuangalia nafasi ya mchezaji mmoja mmoja, huku akisema anaangalia ‘kombinesheni’ ya kila nafasi.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaanza kusaka mrithi wa Logarusic

Uongozi wa Simba umemuweka kiporo kocha wake, Zdravko Logarusic huku ikianza harakati za kurusha ndoano zake kwa Mserbia Milovan Cirkovic na kocha wa Gor Mahia ya Kenya, Robert Wiliamson ‘Bobby’.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yaanza timuatimua, yatimua nyota watatu kambini

Uongozi wa Simba, umewatimua kambini nyota wake watatu, Shaaban Kisiga, Amri Kiemba na Harun Chanongo baada ya wachezaji hao kucheza chini ya kiwango katika mechi za Ligi Kuu Bara.

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yazidi kunoga

Hadi kufikia wakati huu tayari nilikuwa nimejijenga sana kama ripota maalumu wa Sauti ya Amerika, VOA, katika kanda ya Afrika ya Mashariki na Kati.

 

11 years ago

GPL

MAMBO YAZIDI KUNOGA JANGWANI

Beki wa Yanga, Juma Abdul, akichuana na Mwinyi Ndimbo aliyenyuma yake. Jaja (kushoto) na Coutinho. Daktari Juma Sufian akimtibu Hamis Thabit baada ya kuumia kwenye mazoezi hayo.…

 

5 years ago

CCM Blog

MPANDA, KATAVI KWAZIDI KUNOGA


Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Selemani Jafo anaendelea na ziara yake Mkoani Katavi, ambapo leo baada ya kuongea na watumishi wa Manispaa ya Mpanda ameweza kuzindua Barabara za Mpanda mjini ambazo zinajengwa kupitia Mradi wa ULGSP, Mkoani hapo.‘‘Hakika Mpanda mmepata Barabara nzuri hizi ni zakiwango cha Juu na haya ndio mapenzi wa Rais Magufuli kwa wananchi wake wa Mpanda hongereni sana” Waziri Jafo

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA YA CHENJI YAZIDI KUNOGA

 Biashara ya kuuza chenji za sarafu imezidi kutoga katika maeneo mengi hapa jijini Dar, kama inavyoonekana pichani. Hapo ukitoa Buku unapata sh. 700 inayobaki inakuwa imekatwa.Upo hapoo???

 

10 years ago

GPL

TMT 2015 YAZIDI KUNOGA

Majaji wa TMT, Rich, Monalisa na Roy Sarungi. Kutoka kushoto ni Tomluck Stephan (Arusha) Vandeline  August (Mbeya) Catherine Nicholaus (Dodoma) na Dennis Laswai…

 

11 years ago

Michuzi

Michauno ya Heineken foosball yazidi kunoga

Mwakilishi wa kampuni ya Heineken Tanzania, Amon Theonest (kulia) akiteta na kapteni wa timu Boko stars Elifuraha Salimu pamoja na Rafael Masanga kuhusu ushindi wao mkubwa baada yakushinda michuano ya foosball pale Hisaje boko Dar es salaam. Washindi hao pia wameingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain kuburudika na kutazama fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. Timu ya Boko Stars kushoto ikiongozwa na capteni Elifuraha Salimu pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani