Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


habari toka wilayani mpanda mkoa wa katavi

 Mkuu wa wilaya ya Mpanda Mhe. Paza Mwamlima (kaunda suti nyeusi juu kushoto mstari wa pili) akiwa katika kijiji cha Mwese na baadhi ya vijana wajasiriamali wakipewa mafunzo juu ya kujikwamua kimaisha

Mkuu wa wilaya ya Mpanda  Mhe. Paza Mwamlima akiwa katika kijiji cha Kalema katika mwambao wa ziwa Tangayika ambako amekemea uvuvi haramu na kusimamia kuchomwa kwa  nyavu na vyandarua ambavyo vimekamatwa na idara ya uvuvi vikitumika kuvulia samaki. Picha na pasco emmanuel katona,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MPANDA, KATAVI KWAZIDI KUNOGA


Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Selemani Jafo anaendelea na ziara yake Mkoani Katavi, ambapo leo baada ya kuongea na watumishi wa Manispaa ya Mpanda ameweza kuzindua Barabara za Mpanda mjini ambazo zinajengwa kupitia Mradi wa ULGSP, Mkoani hapo.‘‘Hakika Mpanda mmepata Barabara nzuri hizi ni zakiwango cha Juu na haya ndio mapenzi wa Rais Magufuli kwa wananchi wake wa Mpanda hongereni sana” Waziri Jafo

 

10 years ago

Michuzi

WZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYANI MPANDA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na viongozi wa mkoa wa Katavi kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya ziara yake ya jimbo la uchaguzi Januari 9, 2015. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Pazi Mwamlima, Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Mhandisi Emmanuel Kalobelo na Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Kanali Ngemera Lugunga.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiangalia msokoto wa rasta isiyokuwa ya kawaida aliosuka Bwana huyo, baada ya kuwasili kwenye uwanja wa shule ya ufundi ya Mamba wilayani...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYANI MPANDA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na viongozi wa mkoa wa Katavi kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya ziara yake ya jimbo la uchaguzi. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Pazi Mwamlima, Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Mhandisi Emmanuel Kalobelo na Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Kanali Ngemera Lugunga. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiangalia msokoto wa rasta… ...

 

11 years ago

Michuzi

Wananchi Wilayani Mpanda waaswa kutunza vyanzo vya maji na mazingira

Na Kibada Kibada –Katavi
Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wamepewa changamoto kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi  mazingira  kwani kuharibu mazingira kunapelekea kuchangia ukame na kukosekana na maji ambayo  ndiyo uhai wa viumbe na tegemeo la maisha ya wanadamu na wanyama.
Changamoto hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpanda Kibiriti Yasini wakati akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Milala Kata ya Kabungu kwenye  maandalizi ya wiki ya maji inayotarajiwa kufanyika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda apokea taarifa ya mkoa wa Katavi

IMGL6122

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi wakati aliposoma taarifa fupi ya mkoa huo baada ya Waziri Mkuu kuwasili Mpanda mkoani Katavi kwa mapumziko mafupi  Julai 15, 2015. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

5 years ago

CCM Blog

MKUU WA MKOA KATAVI KUONGOZA MATEMBEZI YA UHAMASISHAJI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi MHE. Juma Homera anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika kuongoza Matembezi ya Uhamsishaji Machi 14, 2020 kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Kinywa Na Meno  Duniani, 2020 yatakayo anzia na kumalizikia: Viwanja vya  Shule ya Msingi Kashato kuanzia 12.45 ASubuhi 12.00 jioni. 

Ambapo Maadhimisho hayo yatafanyika Kitaifa Mkoani humo na Mgeni Rasmi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Ummy Mwalimu.    

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 60 ZA NHC WILAYANI MLELE MKOANI KATAVI LEO




 Katibu Mkuu wa CC,Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe na kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa nyumba 60 za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),katika kijiji cha Inyonga ndani ya Wilaya Mpya ya Mlele mkoani Katavi mapema leo jioni.
========  ======  =====

KATIBU Mkuu wa CCM amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kasi ya ujenzi miradi ya nyumba za makazi na biashara kwenye miji mbalimbali hasa makao makuu ya wilaya mpya.
Kinana aliyasema hayo katika mji wa Inyonga...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA APOKEA TAARIFA YA MKOA WA KATAVI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi wakati aliposoma taarifa fupi ya mkoa huo baada ya Waziri Mkuu kuwasili Mpanda mkoani Katavi kwa mapumziko mafupi Julai 15, 2015. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani