habari toka wilayani mpanda mkoa wa katavi
![](http://2.bp.blogspot.com/-HqYzTbvR55I/Uv_D2pwVMhI/AAAAAAAFNY0/SOUXCOAgjmE/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Mhe. Paza Mwamlima (kaunda suti nyeusi juu kushoto mstari wa pili) akiwa katika kijiji cha Mwese na baadhi ya vijana wajasiriamali wakipewa mafunzo juu ya kujikwamua kimaisha
![](http://2.bp.blogspot.com/-6j8ZqIprv5E/Uv_D2VNjMTI/AAAAAAAFNYw/2sowxvZB8I0/s1600/unnamed+(23).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/iaOzRqyQoMs/default.jpg)
MPANDA, KATAVI KWAZIDI KUNOGA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/ggggf-660x400.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lw07RrWuFDM/UviOUAeeKMI/AAAAAAAFMCU/VNNjrgPwSWc/s72-c/KITABU+MKOA+KATAVI+FINAL28.jpg)
10 years ago
MichuziWZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYANI MPANDA
10 years ago
GPLWAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYANI MPANDA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N6hVAR_KmwQ/UyBoU4CG41I/AAAAAAAFTGQ/CYSzqau5vsI/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Wananchi Wilayani Mpanda waaswa kutunza vyanzo vya maji na mazingira
Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wamepewa changamoto kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi mazingira kwani kuharibu mazingira kunapelekea kuchangia ukame na kukosekana na maji ambayo ndiyo uhai wa viumbe na tegemeo la maisha ya wanadamu na wanyama.
Changamoto hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpanda Kibiriti Yasini wakati akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Milala Kata ya Kabungu kwenye maandalizi ya wiki ya maji inayotarajiwa kufanyika...
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Pinda apokea taarifa ya mkoa wa Katavi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi wakati aliposoma taarifa fupi ya mkoa huo baada ya Waziri Mkuu kuwasili Mpanda mkoani Katavi kwa mapumziko mafupi Julai 15, 2015. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dubdcuN-4a8/Xmj20psoNBI/AAAAAAAAnDI/C-7Es1sEgq0JGHPntR84vAUKmfkyjpiPACLcBGAsYHQ/s72-c/KATAVI%2B-2%2B-%2BCopy.jpg)
MKUU WA MKOA KATAVI KUONGOZA MATEMBEZI YA UHAMASISHAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dubdcuN-4a8/Xmj20psoNBI/AAAAAAAAnDI/C-7Es1sEgq0JGHPntR84vAUKmfkyjpiPACLcBGAsYHQ/s640/KATAVI%2B-2%2B-%2BCopy.jpg)
Ambapo Maadhimisho hayo yatafanyika Kitaifa Mkoani humo na Mgeni Rasmi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Ummy Mwalimu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-32kmGJ9oX54/U05tHkor3yI/AAAAAAAFbRo/clIZ83hj3K4/s72-c/18.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 60 ZA NHC WILAYANI MLELE MKOANI KATAVI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-32kmGJ9oX54/U05tHkor3yI/AAAAAAAFbRo/clIZ83hj3K4/s1600/18.jpg)
======== ====== =====
KATIBU Mkuu wa CCM amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kasi ya ujenzi miradi ya nyumba za makazi na biashara kwenye miji mbalimbali hasa makao makuu ya wilaya mpya.
Kinana aliyasema hayo katika mji wa Inyonga...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I10155O3WVU/VaebnubzqQI/AAAAAAAHqFk/vVFK4gaLXjI/s72-c/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA APOKEA TAARIFA YA MKOA WA KATAVI
![](http://1.bp.blogspot.com/-I10155O3WVU/VaebnubzqQI/AAAAAAAHqFk/vVFK4gaLXjI/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)