Kilombero Sugar: Tuzo za ATE ni hamasa kwa waajiri
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa (Kulia) akimkabidhi kombe Meneja masoko wa kampuni ya sukari ya Kilombero Ephraim Mafuru baada ya kuibuka washindi wa tatu wa Jumla katika tuzo za muajiri bora wa mwaka zilizo andaliwa na chama cha waajiri Tanzania (ATE). Hafla hiyo ilifanyika Dar-es-Salaam, mwishoni mwa wiki.
Kampuni ya Kilombero Sugar Ltd imesema kuwa tuzo za Mwajiri Bora zinazotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Kilombero Sugar yaipongeza ATE kwa kuwapa hamasa waajiriâ€
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Je zawadi inaongeza hamasa kwa wanafunzi?
9 years ago
StarTV24 Dec
Zoezi la usafi 9 Disemba la Maguful laongeza hamasa kwa wananchi
Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Wazee na Watoto imesema zoezi la usafi lililofanyika nchi nzima Desemba 9 mwaka huu ikiwa ni agizo la Rais Magufuli la kuadhimsiha sherehe za Uhuru kwa kufanya usafi, limeibua hisia kubwa kwa watanzani katika kuhamasika kutunza mazingira.
Wizara imesema kuwa zoezi hilo limepunguza kasi ya kipindupindu na jamii imetambua umuhimu wa usafi hasa maeneo ya vijijini ambako wengi hudhani suala la usafi linafanyika mjini pekee.
Desemba 9 mwaka huu ilikuwa ni siku...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Baraza jipya la mawaziri, mkorogo usio hamasa kwa mabadiliko
RAIS John Pombe Magufuli (JPM) amekwishaunda Wizara 18 za Serikali yake na kutangaza mawaziri wa
Joseph Mihangwa
9 years ago
StarTV24 Nov
Zaidi ya tani 250 za miwa zatupwa Kilombero kwa  Madai Ya Kutofaa Kwa Uzalishaji
Wakulima wa miwa wilayani kilombero wamepata hasara ya zaidi ya shilingi Milioni 30 baaada ya kiwanda cha sukari cha ILOVO kilichopo wilayani humo kukataa kuchukua tani 250 za miwa iliyovunwa kwenye mashamba ya wakulima hao, kwa madai kuwa miwa hiyo imekaa muda mrefu baada ya kuvunwa na hivyo kutofaa kwa uzalishaji wa sukari.
Wakulima wanaulalamikia uongozi wa kiwanda hicho kwa hasara waliyopata kwani novemba 14 kiwanda kiliagiza wakulima kuanza kuvuna miwa yao , ambapo wakulima...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
HELSB yatangaza kiama kwa waajiri
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB), imewatangazia kiama waajiri watakaoshindwa kuwasilisha taarifa za watumishi waliokopa katika bodi hiyo.
Imesema haitakuwa na huruma na waajiri hao na kwamba itawafikisha mahakamani.
Mkurugenzi Msaidizi Urejeshaji Mikopo wa HELSB, Robert Kibona, alisema hayo jana mjini Dodoma katika kutano mkuu wa mwaka wa wakurugenzi wa Utawala na Raslimali watu serikalini.
Alisema tayari waajiri watano wamechukuliwa hatua kutokana na kushindwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qWaXDknmMoc/XmN56mpKT-I/AAAAAAAEGHQ/oGZ1S0Y6_ncBz42QkZUFkucsfHoRtZuIQCLcBGAsYHQ/s72-c/71df1999-7f84-43e8-8de8-87a92892b7a5.jpg)
Kusherehekea wiki ya wanawake duniani Vodacom yatoa hamasa kwa watoto wa kike kujifunza Tehama
![](https://1.bp.blogspot.com/-qWaXDknmMoc/XmN56mpKT-I/AAAAAAAEGHQ/oGZ1S0Y6_ncBz42QkZUFkucsfHoRtZuIQCLcBGAsYHQ/s640/71df1999-7f84-43e8-8de8-87a92892b7a5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/e17805d8-71fb-4bf2-99a2-5ac51c2778e9.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Sheria,sera ya kazi tatizo kwa waajiri