Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilombero Sugar: Tuzo za ATE ni hamasa kwa waajiri

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa (Kulia) akimkabidhi kombe Meneja masoko wa kampuni ya sukari ya Kilombero Ephraim Mafuru baada ya kuibuka washindi wa tatu wa Jumla katika tuzo za muajiri bora wa mwaka zilizo andaliwa na chama cha waajiri Tanzania (ATE). Hafla hiyo ilifanyika Dar-es-Salaam, mwishoni mwa wiki. 

Kampuni ya Kilombero Sugar Ltd imesema kuwa tuzo za Mwajiri Bora zinazotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kilombero Sugar yaipongeza ATE kwa kuwapa hamasa waajiri‏

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa (Kulia) akimkabidhi kombe Meneja masoko wa kampuni ya sukari ya Kilombero Ephraim Mafuru baada ya kuibuka washindi wa tatu wa Jumla katika tuzo za muajiri bora wa mwaka zilizo andaliwa na chama cha waajiri Tanzania (ATE). Hafla hiyo ilifanyika Dar-es-Salaam, mwishoni mwa wiki. Kampuni ya Kilombero Sugar Ltd imesema kuwa tuzo za Mwajiri Bora zinazotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta...

 

10 years ago

Mwananchi

Je zawadi inaongeza hamasa kwa wanafunzi?

Nashukuru tumeweza kukutana tena baada ya kusherehekea Sikukuu ya Idi-el-Hajji kwa furaha na amani. Naamini wengi wenu mnafahamu maana ya zawadi, lakini wapo baadhi ambao hawafahamu kabisa ingawa mnapenda kuagiza “baba niletee zawadi.

 

9 years ago

StarTV

Zoezi la usafi 9 Disemba la Maguful laongeza hamasa kwa wananchi

Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Wazee na Watoto imesema zoezi la usafi lililofanyika nchi nzima Desemba 9 mwaka huu ikiwa ni agizo la Rais Magufuli la kuadhimsiha sherehe za Uhuru kwa kufanya usafi, limeibua hisia kubwa kwa watanzani katika kuhamasika kutunza mazingira.

Wizara imesema kuwa zoezi hilo limepunguza kasi ya kipindupindu na jamii imetambua umuhimu wa usafi hasa maeneo ya vijijini ambako wengi hudhani suala la usafi linafanyika mjini pekee.

Desemba 9 mwaka huu ilikuwa ni siku...

 

9 years ago

Raia Mwema

Baraza jipya la mawaziri, mkorogo usio hamasa kwa mabadiliko

RAIS John Pombe Magufuli (JPM) amekwishaunda Wizara 18 za Serikali yake na kutangaza mawaziri wa

Joseph Mihangwa

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya tani 250 za miwa zatupwa Kilombero kwa  Madai Ya Kutofaa Kwa Uzalishaji

 

Wakulima wa miwa wilayani  kilombero wamepata hasara ya zaidi ya shilingi Milioni 30 baaada ya kiwanda cha sukari cha ILOVO kilichopo wilayani humo  kukataa kuchukua tani 250 za miwa iliyovunwa kwenye mashamba ya wakulima hao, kwa madai kuwa  miwa hiyo imekaa muda mrefu baada ya kuvunwa na hivyo kutofaa kwa uzalishaji wa sukari.

Wakulima wanaulalamikia uongozi wa kiwanda hicho  kwa hasara waliyopata  kwani  novemba 14 kiwanda kiliagiza   wakulima kuanza kuvuna miwa yao , ambapo wakulima...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

HELSB yatangaza kiama kwa waajiri


NA MWANDISHI WETU
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB), imewatangazia kiama waajiri watakaoshindwa kuwasilisha taarifa za watumishi waliokopa katika bodi hiyo.
Imesema haitakuwa na huruma na waajiri hao na kwamba itawafikisha mahakamani.
Mkurugenzi Msaidizi Urejeshaji Mikopo wa HELSB, Robert Kibona, alisema hayo jana mjini Dodoma katika kutano mkuu wa mwaka wa wakurugenzi wa Utawala na Raslimali watu serikalini.
Alisema tayari waajiri watano wamechukuliwa hatua kutokana na kushindwa...

 

5 years ago

Michuzi

Kusherehekea wiki ya wanawake duniani Vodacom yatoa hamasa kwa watoto wa kike kujifunza Tehama


Mwanafunzi wa kidato cha nne, shule ya sekondari Kinyerezi jijini Dar Es Salaam, Rahma Seif akielezea namna ya kujisomea kupitia mfumo wa Instant Schools unaowezesha kupata  materials‘ kwa njia ya mtandao bure kutoka Vodacom. Hii ni hamasa iliyowekwa na Vodacom kuelekea siku ya wanawake Duniani kwa mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi yenye kauli mbiu I am the face of Tech.Mkuu wa Idara ya IT na Miradi Vodacom Tanzania PLC, Cleopatra Mukangara akitoa zawadi kwa wanafunzi mbalimbali wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sheria,sera ya kazi tatizo kwa waajiri

Imeelezwa kuwa waajiri kutofahamu vyema Sera ya kazi ya mwaka 2008 na Sheria ya kazi, iliyoandikwa na Shirika la Kazi Ulimwenguni(ILO), husababisha migogoro mahala pa kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani