Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je zawadi inaongeza hamasa kwa wanafunzi?

Nashukuru tumeweza kukutana tena baada ya kusherehekea Sikukuu ya Idi-el-Hajji kwa furaha na amani. Naamini wengi wenu mnafahamu maana ya zawadi, lakini wapo baadhi ambao hawafahamu kabisa ingawa mnapenda kuagiza “baba niletee zawadi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hdroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo' kwa wagonjwa wa Covid, utafiti unasema

Wagonjwa walio hospitali wenye virusi vya corona wanaotibiwa kwa dawa ya hydroxychloroquine walikuwa katika hatari ya kufa, utafiti umeonesha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK kukabidhi zawadi wanafunzi waliofanya vizuri

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa zawadi kwa wanafunzi na shule zilizofanya vizuri katika mitihani ya kuhitimu darasa la saba na kidato cha nne kwa mwaka 2013 wakati wa kilele cha...

 

9 years ago

Michuzi

Kilombero Sugar: Tuzo za ATE ni hamasa kwa waajiri

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa (Kulia) akimkabidhi kombe Meneja masoko wa kampuni ya sukari ya Kilombero Ephraim Mafuru baada ya kuibuka washindi wa tatu wa Jumla katika tuzo za muajiri bora wa mwaka zilizo andaliwa na chama cha waajiri Tanzania (ATE). Hafla hiyo ilifanyika Dar-es-Salaam, mwishoni mwa wiki. 

Kampuni ya Kilombero Sugar Ltd imesema kuwa tuzo za Mwajiri Bora zinazotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta...

 

9 years ago

Global Publishers

Kilombero Sugar yaipongeza ATE kwa kuwapa hamasa waajiri‏

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa (Kulia) akimkabidhi kombe Meneja masoko wa kampuni ya sukari ya Kilombero Ephraim Mafuru baada ya kuibuka washindi wa tatu wa Jumla katika tuzo za muajiri bora wa mwaka zilizo andaliwa na chama cha waajiri Tanzania (ATE). Hafla hiyo ilifanyika Dar-es-Salaam, mwishoni mwa wiki. Kampuni ya Kilombero Sugar Ltd imesema kuwa tuzo za Mwajiri Bora zinazotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta...

 

9 years ago

Raia Mwema

Baraza jipya la mawaziri, mkorogo usio hamasa kwa mabadiliko

RAIS John Pombe Magufuli (JPM) amekwishaunda Wizara 18 za Serikali yake na kutangaza mawaziri wa

Joseph Mihangwa

 

9 years ago

StarTV

Zoezi la usafi 9 Disemba la Maguful laongeza hamasa kwa wananchi

Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Wazee na Watoto imesema zoezi la usafi lililofanyika nchi nzima Desemba 9 mwaka huu ikiwa ni agizo la Rais Magufuli la kuadhimsiha sherehe za Uhuru kwa kufanya usafi, limeibua hisia kubwa kwa watanzani katika kuhamasika kutunza mazingira.

Wizara imesema kuwa zoezi hilo limepunguza kasi ya kipindupindu na jamii imetambua umuhimu wa usafi hasa maeneo ya vijijini ambako wengi hudhani suala la usafi linafanyika mjini pekee.

Desemba 9 mwaka huu ilikuwa ni siku...

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KITAALUMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA (MOCU) WAKABIDHIWA ZAWADI

Kaimu Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi ,Prof. Faustine Bee akizungumza wakati wa sherehe ya kukabidhi zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma iliyofanyika katika ukumbi wa Nyerere chuoni hapo.Baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma wakimsilikiliza Kaimu wa Makamu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (hayupo pichani)Pro,Faustine Bee wakati akizungumza katika sherehe hiyo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

5 years ago

Michuzi

Kusherehekea wiki ya wanawake duniani Vodacom yatoa hamasa kwa watoto wa kike kujifunza Tehama


Mwanafunzi wa kidato cha nne, shule ya sekondari Kinyerezi jijini Dar Es Salaam, Rahma Seif akielezea namna ya kujisomea kupitia mfumo wa Instant Schools unaowezesha kupata  materials‘ kwa njia ya mtandao bure kutoka Vodacom. Hii ni hamasa iliyowekwa na Vodacom kuelekea siku ya wanawake Duniani kwa mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi yenye kauli mbiu I am the face of Tech.Mkuu wa Idara ya IT na Miradi Vodacom Tanzania PLC, Cleopatra Mukangara akitoa zawadi kwa wanafunzi mbalimbali wa...

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom Tanzania yatoa hamasa kwa vijana kuijua Teknolojia ya Habari kupitia mradi wa Code Like A Girl



Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi akizungumza  jijini Dar Es Salaam  na vijana wakati wa kufunga mafunzo ya ICT kupitia mradi maalum wa Code Like A Girl unaowezesha vijana kujua teknolojia ya habari na kuwahimiza kutumia vyema ujuzi huo ili kumudu ushindani uliopo kwenye soko la ajira.Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani