8 wadaiwa kuua mfululizo
WATU wanane wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Tarime wakikabiliwa na kesi za mauaji ya watu tisa na unyang'anyi katika kata za Turwa , Kitare na Binagi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Polisi wadaiwa kuua raia
ASKARI sita wa Kituo Kikuu cha Polisi Lushoto, mkoani Tanga, wanatuhumiwa kumuua kwa risasi mkazi wa Kijiji cha Viti, Hamis Seif (25) na kumjeruhi mmoja, huku wakidai raia hao walikuwa...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Wadaiwa kujeruhi, kuua wanavijiji
Wakazi 11 wa vijiji viwili tofauti vya wilayani hapa, wamejeruhiwa na mmoja kufariki dunia kutokana na kundi la watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kuwashambulia kwa silaha za jadi zikiwamo mapanga na visu.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Polisi wadaiwa kuua, wasusiwa marehemu
Jeshi la Polisi limeingia katika kashfa baada ya baadhi ya askari wake wa Kituo cha Mortot Kamwanga kilichopo Longido kudaiwa kumuua mahabusu na wananchi kukataa kumzika na kuipeleka maiti hiyo nje ya kituo hicho.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Polisi wadaiwa kuua, kujeruhi raia
Polisi wilayani Kaliua, inadaiwa kumuua mtu mmoja na kumjeruhi mwingine baada ya wananchi zaidi ya 200 kuvamia kituo kidogo cha polisi kwa lengo la kumtoa mtuhumiwa ili wajichukulie sheria mkononi.
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Askari Magereza wadaiwa kuua mfungwa
Askari Magereza wanane, wamefikishwa mahakamani wilayani Mafia mkoani Pwani kwa tuhuma za mauaji ya mfungwa.
10 years ago
GPL
MZIMU WA KANUMBA WADAIWA KUUA WAWILI
mwandishi wetu
HII ni habari ya kutisha! Takriban miaka mitatu imekatika tangu kifo cha aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Steven Kanumba huku watu wawili wakifariki dunia kwa nyakati tofauti lakini nyuma ya pazia ya vifo vyao, mzimu wa Kanumba unatajwa kuhusika kutokana na watu hao kutaka kuishi mahali pa marehemu huyo, endelea kusoma Risasi Jumamosi. Aliyekuwa staa wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba. SOMA TUKIO HILI LA...
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Askari Sudan wadaiwa kuua na kubaka raia
Kikosi kimoja maalum cha serikali nchini Sudan kimeshutumiwa kwa kutekeleza maujai ya halaiki na ubakaji wa raia katika eneo la Darfur.
11 years ago
BBCSwahili07 Dec
Man U kipigo mfululizo
Manchester United ilipata kipigo chake cha pili nyumbani katika muda wa siku nne baada ya kulazwa bao moja bila na New Castle
11 years ago
Mwananchi24 May
Babu ambaka mfululizo mtoto wa miaka 12
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Mohamed Mgende (59) mlinzi na mkazi wa Msamvu Ndege Wengi kwa tuhuma za kumbaka binti wa miaka 12, mwanafunzi wa darasa la tano Shule ya Msingi Msamvu B.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania