Achukua fomu ya 42 urais CCM, asema yeye ni greda
Zikiwa zimesalia siku nne, kabla ya kumalizika kwa uchukuaji na urudishaji fomu za kuwania urais CCM, kada wa chama hicho Banda Sonoko (46) amechukua fomu akijigamba kwamba yeye ni greda linalokuja kusawazisha nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
SILIMA ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS , ASEMA AMEKUJA KUINUA UCHUMI WA WAZANZIBAR WOTE
Na Mwandishi Wetu Zanzibar.
JOTO la la nani atakayepewa kijiti kukiokongoza Zanzibar katika kinyang’anyiro cha urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) limeendelea kupanda baada ya Kada nguli wa chama hizo Pereira Ame Silima kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.
Silima licha ya kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya Serikali ya Zanzibar ikiwemo Katibu Mkuu wa Wizara za Biashara Masoko na Utalii, Kilimo, Mifugo na Maliasili tangu Machi 2017 hadi sasa amekuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa...
JOTO la la nani atakayepewa kijiti kukiokongoza Zanzibar katika kinyang’anyiro cha urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) limeendelea kupanda baada ya Kada nguli wa chama hizo Pereira Ame Silima kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.
Silima licha ya kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya Serikali ya Zanzibar ikiwemo Katibu Mkuu wa Wizara za Biashara Masoko na Utalii, Kilimo, Mifugo na Maliasili tangu Machi 2017 hadi sasa amekuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa...
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Mwingine achukua fomu za urais CCM
Kada wa CCM, Ritta Ngowi amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama kuwania urais katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu na kusema akifanikiwa ataanzisha kituo kikubwa cha kuwahudumia wastaafu, walemavu, wasiojiweza na vijana.
5 years ago
Michuzi
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais



10 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM
5 years ago
CCM Blog
DK HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM ZANZIBAR

10 years ago
MichuziWaziri Magufuli achukua fomu ya kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM
10 years ago
Vijimambo12 Jun
WAZIRI MKUU MH. MIZENGO PINDA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS


5 years ago
CCM Blog
BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS

5 years ago
CCM Blog
SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania