Adha ya Mbweni JKT, Kinondoni
Ukiwa na haraka Mbweni JKT jiandae kupiga mbizi
UPIGE mbizi. Ndivyo unavyoweza kusema msemo huu kama unahitaji kupita haraka haraka katika eneo la Mbweni JKT, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam, mahala panapojengwa daraja la kuvukia watu kwa miaka mitatu sasa, halina dalili za kukamilika hivi karibuni. Ni eneo tata. Ni eneo linalokera na kusumbua watu mno. Mbaya zaidi, ni eneo lililozunguukwa na majumba ya watu wenye ukwasi au ukubwa wa majina ya viongozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziADHA YA MBWENI JKT, MANISPAA YA KINONDONI
Ukiwa na haraka Mbweni JKT jiandae kupiga mbizi
Na Kambi Mbwana, Dar es SalaamUPIGE mbizi,Ndivyo unavyoweza kusema msemo huu kama unahitaji kupita haraka haraka katika eneo la Mbweni JKT, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam, mahala panapojengwa daraja la kuvukia watu kwa miaka mitatu sasa, halina dalili za kukamilika hivi karibuni.
Ni eneo tata,Ni eneo linalokera na kusumbua watu mno, Mbaya zaidi, ni eneo lililozunguukwa na majumba ya watu wenye ukwasi au ukubwa wa majina ya viongozi...
Na Kambi Mbwana, Dar es SalaamUPIGE mbizi,Ndivyo unavyoweza kusema msemo huu kama unahitaji kupita haraka haraka katika eneo la Mbweni JKT, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam, mahala panapojengwa daraja la kuvukia watu kwa miaka mitatu sasa, halina dalili za kukamilika hivi karibuni.
Ni eneo tata,Ni eneo linalokera na kusumbua watu mno, Mbaya zaidi, ni eneo lililozunguukwa na majumba ya watu wenye ukwasi au ukubwa wa majina ya viongozi...
10 years ago
MichuziWakazi na wananchi wa Mbweni JKT wilayani Kinondoni wamuomba DC Makonda apige jicho mradi wa daraja uliokwama
Licha ya mtaa wa Mbweni JKT, jijini Dar es Salaam kujengwa majumba ya kifahari na kupatikana pia nyumba za viongozi mbalimbali wa serikali, miundo mbinu yake, hususan daraja linalojengwa katika eneo hilo ili kuwafanya wananchi wapite kwa urahisi kusua sua. Kwa miaka kadhaa sasa ujenzi wa daraja hilo umesimama.
Pichani ni gari la mwananchi na mkazi wa eneo hilo akipta kwenye maji ambayo mara kadhaa hujikuta wamesimama kwa saa kadhaa, hususan kama eneo hilo litajaa baada ya eneo hilo kujaa...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
JKT Mbweni yaibeba Tanzania
Wawakilishi pekee wa Tanzania waliosalia katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki, JKT Mbweni sasa wataivaa Prisons ya Uganda katika nusu fainali itakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Taifa.
11 years ago
TheCitizen28 Mar
JKT Mbweni in do-or-die clash
>The East Africa Netball Club Championship rolls into the semi-final stage today with JKT Mbweni doing battle with Prisons of Uganda at the National Stadium.
9 years ago
TheCitizen16 Dec
False start for JKT Mbweni
 Defending champions JKT Mbweni made a false start in the Union netball league as they went down 36-34 to Mafunzo of Zanzibar yesterday.
11 years ago
Mwananchi24 Mar
JKT Mbweni yainyuka Polisi Uganda
Timu ya Tanzania ya JKT Mbweni Wanawake imeanza vyema harakati za kutwaa ubingwa wa Michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki ya Netiboli baada ya kuigalagaza Polisi Uganda kwa magoli 42-36 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
MichuziKids Planet preschool at Mbweni JKT
Welcome to Kids Planet preschool at Mbweni JKT. We offer quality educational facilities in a safe and comfortable environment. Our qualified, exposed and experienced staff will teach your children to learn through play. We have a well stocked library, computer facilities, self contained classrooms and much more! Register now school starts on 31st August. For more information call 0785570857 or follow the road signs. Turn off Bagamoyo rd and head towards Ndege Beach.
11 years ago
TheCitizen25 Mar
JKT Mbweni hit Kenyan outfit
>JKT Mbweni maintained their winning run in the East Africa Netball Club Championship with a 42-37 win against Kenya’s Ministry of Information, Communications and Technology (Moicit) at the National Stadium yesterday
9 years ago
AllAfrica.Com17 Dec
Tanzania: False Start for JKT Mbweni
Tanzania: False Start for JKT Mbweni
AllAfrica.com
Dar es Salaam — Defending champions JKT Mbweni made a false start in the Union netball league as they went down 36-34 to Mafunzo of Zanzibar yesterday. The match at Gymkhana club grounds was closely contested as players of both teams played their ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania