Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Air France: Hatukujua mauti imetuandama abiria

Abiria aliyekuwa ndani ya ndege ya Air France iliyolazimika kutua ghafla mjini Mombasa baada ya 'bomu' kupatikana ndani anasema hawakujua kilichokuwa kikiendelea

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Air France: Abiria 2 wakamatwa Paris

Polisi nchini Ufaransa wamewatia mbaroni mume na mkewe waliokuwa wakisafiri katika ndege ya Air France iliyolazimika kutua kwa dharura nchini Kenya kufuatia tishio la bomu

 

9 years ago

BBC

'Two held' over Air France bomb scare

Police in Paris detain two people who were on an Air France flight forced to make an emergency landing in Kenya when a fake bomb was found, reports say.

 

9 years ago

BBCSwahili

Air France: 'Bomu' ilikuwa bandia

Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege la Air France amefutilia mbali tahadhari ya bomu iliyosababisha ndege ya kutua Kenya kuwa ni ya uongo

 

9 years ago

BBC

Air France flight in bomb scare

An Air France flight from Mauritius to Paris is forced to make an emergency landing in Kenya after a suspected bomb is found on board.

 

10 years ago

BBC

Air France flight 'missed mountain'

An Air France plane with 37 people on board narrowly missed hitting central Africa's highest mountain in early May, French investigators say.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Air Algerie bodies to be brought to France

France's president has promised that the bodies of 118 people who died when an Air Algerie plane crashed in Mali will be brought to France.

 

9 years ago

Global Publishers

Washukiwa wa bomu bandia ndege ya Air France wakamatwa Ufaransa

Air france (2)Watuthumiwa hao (kushoto) baada ya kukamatwa.

MAOFISA wa Polisi nchini Ufaransa wamewatia mbaroni abiria wawili wa ndege hiyo ambao ni mke na mme liokuwa abiria katika ndege ya Air France Boeing 777 nambari AF463 iliyolazimika kutua kwa dharura nchini Kenya hapo jana kufuatia tishio la bomu.

Air france (1)Duru zinasema kuwa wawili hao ambao majina yao bado hayawekwa hadharani walikamatwa punde baada ya kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Charles de Gaulle nchini Ufaransa.

An Air France jet liner which made an emergency landing is seen at Moi International Airport in Mombas, Kenya Sunday, Dec. 20, 2015. The Boeing 777 Air France flight 463 from Mauritius to Paris was forced to land in the Kenyan coastal city of Mombasa after a device suspected to be a bomb was found in the lavatory, a Kenyan police official said Sunday. (AP Photo/Edwin Kana)Waliokamatwa ni ofisa mmoja...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Awataja Mawakala wa Mauti,Wewe Je ni ‘Wakala wa Mauti’?

Staa wa Bongo Movies aliejijengea heshma kwa mashabiki kwa kazi zake, Riyama Ally anakuja na filamu mpya, kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi‘Albinos’inayokwenda kwa jina la Wakala wa Mauti.

“Hii ni kazi ya mikono yangu namuomba mungu anijalie iwe miongoni mwa kazi bora inshallah amin.....”Riyama alidokeza.

Akionyesha baadhi ya picha za filamu hiyo  mtandaoni Riyama alisema “Hivi ni baadhi ya kipindekipinde cha filamu yangu mpya " Wakala wa Mauti " anae wadhulumu ndugu zetu ma...

 

11 years ago

BBCSwahili

Air Algerie AH5017: Abiria wote waliaga

Abiria wote na wahudumu wa ndege ya Air Algerie AH5017 waliangamia jangwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani