Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZtOS43NuV5U/VlVqjlj6iGI/AAAAAAAIIT4/HyLUjvGoeq8/s72-c/Pic%2B1.jpg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua application itakayowawezesha wateja wake kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi na kupitia application ijulikanayo kama “Airtel care App”.
Application hii mpya ya “Airtel care App” ni moja kati ya huduma nyingi za kibunifu zinazotelewa na Airtel zenye lengo la kuwawezesha wateja wa Airtel kutatua matatizo yao na mahitaji yao kwa urahisi wakati wowote.
Akizungumza Wakati wa uzinduzi wa “Airtel care App” Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw...
Michuzi