Ajinyonga kituo cha Polisi
WATU watatu wamekufa katika matukio tofauti likiwamo la mahabusu kujinyonga akiwa Kituo cha Polisi cha Kati mjini Mbeya. Mahabusu aliyekufa kwa kujinyonga amefahamika kwa jina la Nasson Paulo (70) Mkazi wa Ruiwa wilayani Mbarali.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4ur97VhIdHrwwacMHra1YOjmjnrzAl7RP7DI3YZHKtOrvI*epTTORCUd5H4PNqWuicflqHnYJzsmc*IltS4ZSd/BREAKING.gif)
KITUO CHA POLISI STAKISHARI-UKONGA CHAVAMIWA, POLISI WAUAWA NA KUPORWA SILAHA
WATU wanaodhaniwa kuwa magaidi wamevamia Kituo cha Polisi Stakishari kilichopo Ukonga jijini Dar es Salaam, jana usiku na kuua askari na raia kisha kupora silaha. Kwa mujibu wa taarifa za awali ambazo bado hazijathibitishwa na Jeshi la Polisi ni kwamba watu hao walifika kituoni hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia ghafla na kuanza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wz3pzQLdiZg/XuJN6GkQ-2I/AAAAAAALtdk/Oy1Venwc_ewKM-zBNgDMA_Lh6wQ_9YyswCLcBGAsYHQ/s72-c/26da6cd5-1fd1-4c01-bd8b-17c480d3d3a5.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
JESHI la Polisi mkoani Arusha, litaanza ujenzi wa kituo kidogo cha polisi katika kata ya Kisongo wilayani Arumeru mkoani hapa baada ya jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kuwapa eneo la ujenzi huo ili kuondoa kero kwa wananchi.
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
10 years ago
VijimamboMAJAMBAZI WALIOVAMIA KITUO CHA POLISI CHA STAKISHARI, WAKAMATWA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8zo4NUP9bg0/U6Ec_byyoGI/AAAAAAACjpo/3CnRqeuGXPk/s72-c/IPTL+MBWENI+PIX+1.jpg)
IPTL yapiga jeki ujenzi wa kituo cha polisi cha Mbweni- Malindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-8zo4NUP9bg0/U6Ec_byyoGI/AAAAAAACjpo/3CnRqeuGXPk/s1600/IPTL+MBWENI+PIX+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ufsiGmLtEzo/U6Ec_tVSNUI/AAAAAAACjps/ntqD_hqHI0I/s1600/IPTL+MBWENI+PIX+2.jpg)
11 years ago
Michuzi100.5 Times Fm yakichangia kituo cha Polisi cha Kawe vifaa mbalimbali
Kituo cha radio cha 100.5 Times Fm, June 21 kilitoa mchango wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya kukisaidia kituo cha polisi cha Kawe, wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Times Fm imetoa mchango huo baada ya kubaini changamoto mbalimbali za kiutendaji zinazokikabili kituo hicho cha polisi kutokana na upungufu wa vifaa.
Baadhi ya vifaa vilivyokabithiwa kwa kituo hicho cha polisi ni pamoja na viti, meza na vifaa mbalimbali vitavypotumika katika uandishi na uchapaji wa taarifa zao...
Times Fm imetoa mchango huo baada ya kubaini changamoto mbalimbali za kiutendaji zinazokikabili kituo hicho cha polisi kutokana na upungufu wa vifaa.
Baadhi ya vifaa vilivyokabithiwa kwa kituo hicho cha polisi ni pamoja na viti, meza na vifaa mbalimbali vitavypotumika katika uandishi na uchapaji wa taarifa zao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
CHIKAWE AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO YA DHARURA CHA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s640/unnamed%2B(69).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R9gvbev0ehY/Ux2hsZajWGI/AAAAAAAFSqk/xkBnl0abp9U/s72-c/unnamed+(28).jpg)
EPZA YASAIDIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA MAKUBURI KIBANGU, DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-R9gvbev0ehY/Ux2hsZajWGI/AAAAAAAFSqk/xkBnl0abp9U/s1600/unnamed+(28).jpg)
11 years ago
GPLTIMES FM YAKICHANGIA KITUO CHA POLISI CHA KAWE
Rebecca wa Idara ya Masoko Times fm (kushoto) akipeana mikono na askari wa Kituo cha Kawe. Mkurugenzi wa Radio Times Fm, Rehure Nyaulawa (kushoto) akikabidhi vifaa mbalimbali kwa Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kawe, SSP Mponjoli Mponjile, Juni 21, mwaka huu katika kituo cha Polisi Kawe jijini Dar es…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania