AKINA MAMA WAJASIRIAMALI KUTOKA MWALO WA SOTA RORYA MKOANI MARA WAPAZA SAUTI ZAO.
Akina mama wajasiriamali kutoka Wilayani Rorya ambapo kulia ni bi.Winfrida Joseph akiwa pamoja na bi.Magreth Steven.
Na:George Binagi-GB PazzoAKINAMAMA wajasiriamali katika Kijiji cha Sota, Kata ya Tai iliyopo Wilaya ya Rorya Mkoani Mara, wamewaomba wagombea watakaobahatika kuingia madarakani katika uongozi wa awamu ijayo, kuwakumbuka kwa kuwawezesha mitaji yenye riba na mashariti nafuu ili kuendeleza shughuli zao.
Walitoa ombi hilo wakati wakizungumza na Mtandao wa BMG (Binagi Media Group),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Q2L4biWrlD4/VCCDNabhgII/AAAAAAABFcc/sGMAV4-PvdU/s72-c/0.1Mwenge%2Bwa%2BUhuru%2B2014%2Bwilayani%2BRorya34.jpg)
MWENGE WA UHURU WATEKETEZA SHAHENA YA BANGI WILAYANI RORYA MKOANI MARA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q2L4biWrlD4/VCCDNabhgII/AAAAAAABFcc/sGMAV4-PvdU/s640/0.1Mwenge%2Bwa%2BUhuru%2B2014%2Bwilayani%2BRorya34.jpg)
OCD wa Jeshi la Polisi Utegi wilayani Rorya (JINA LITAKUJIA HIVI PUNDE), amesema mapambano dhidi ya biashara na kilimo cha bangi wilayani Tarime, moja ya changamoto zake kubwa ni biashara hiyo haramu kufadhiliwa na wafanyabiashara wakubwa toka nchini Kenya.
OCD aliyasema hayo hivi karibuni, wakati alipokuwa akisimamia uteketezwaji wa kiasi cha tani moja za bangi, zoezi lililofanyika katika eneo maalum la uwanja wa Kituo cha Polisi Utegi. “Bangi inayolimwa Tarime na Rorya inasemekana...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OKOj6zd3y2g/U3A5ZB5v_OI/AAAAAAAFg_s/Bttm1wXC2vY/s72-c/IMG_8943.jpg)
BAISKELI MKOMBOZI WA USAFIRI KWA AKINA MAMA WENGI WA NZEGA MKOANI TABORA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-OKOj6zd3y2g/U3A5ZB5v_OI/AAAAAAAFg_s/Bttm1wXC2vY/s1600/IMG_8943.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Dec
KUTOKA LONDON: Mganga mkuu Uingereza aonya siha ya akina mama inavyotuathiri sote
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Mama Samia akutana na Wanawake wa UWT, Walemavu na Wajasiriamali mkoa wa Dar kujua changamoto zao
Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.
Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye...
9 years ago
VijimamboMAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE WA UWT, WALEMAVU NA WAJASIRIAMALI MKOA WA DAR ES SALAAM KUJUA CHANGAMOTO ZAO
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5oXsk7SxOkg/VgxVnU9YXLI/AAAAAAAD_Ic/XGB4eQ1fNqM/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA APIGA KAMPENI SIRARI MKOANI MARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-5oXsk7SxOkg/VgxVnU9YXLI/AAAAAAAD_Ic/XGB4eQ1fNqM/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8kIG-wQe3h0/VgxVnRDKr7I/AAAAAAAD_Ik/-0lC0hmjkq8/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e5JY6Xc7H-Y/VgxVo_pwiGI/AAAAAAAD_I4/J0RMy_WFEJ0/s640/3.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/126.jpg?width=650)
MAMA SAMIA APIGA KAMPENI SIRARI MKOANI MARA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t9X_szdB1Lw/VEoKVzwavEI/AAAAAAAGtD0/fF_aSjW-ZyI/s72-c/DSC_0018.jpeg)
Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...