Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALI KIBA TALK OF THE TOWN - KUZINDUA MWANA NA KIMASOMASO

USIPIME! Habari ya mjini kwa sasa ni uzinduzi wa nyimbo mbili za Ally Saleh ‘Ali Kiba’, Mwana na Kimasomaso ambazo atazizindua kwenye Tamasha la Matumaini Agosti 8, mwaka huu Uwanja wa Taifa jijini Dar. Mkali wa Bongo Fleva, Ally Saleh ‘Ali Kiba’ Kiba ambaye ni mkongwe kunako muziki wa Bongo Fleva, amefunguka yeye siku zote ni staa na huwa hakosei hivyo mashabiki watarajie burudani kali siku hiyo.
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Baada ya kimya kirefu Ali Kiba aachi nyimbo mbili mfululizo “Kimasomaso” na “Mwana Dar” zisikilize hapa!

Alikiba - Mwana Cover Done CD-1

Unaweza kusoma Profile ya Ali Kiba hapo chini

Alikiba Saleh Kiba (born November 26, 1986) is a Tanzanian recording artiste, songwriter, dancer, producer, actor and model. He is one of Africa’s biggest stars and his name is steadily becoming a household name internationally.
So influential is Alikiba that the Tanzania’s president Jakaya Mrisho Kikwete honored him for his invaluable contribution to Tanzanian Music and Arts and Culture feted him.

In 2011, Alikiba was voted as “the most...

 

10 years ago

Jamtz.Com

10 years ago

Bongo5

New Video: Mwana FA Ft Ali Kiba — Kiboko Yangu

Video mpya kutoka kwa Mwana FA akismhirikisha Ali Kiba wimbo unaitwa “Kiboko Ynagu” video imeongzwa na Kevin Bosco Jr kutoka Kenya.

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA AFUNIKA SHOO YA MWANA DAR LIVE

Mwanamuziki Ali Kiba akizikonga nyoyo za mashabiki waliofurika Dar Live katika shoo yake ya Mwana Dar Live. Mashabiki wa Ali Kiba wakishow love. Ali Kiba na mdogo wake Abdul Kiba wakizidi kuwapagawisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.…

 

10 years ago

GPL

MWANA DAR LIVE CONCERT, ALI KIBA, ISHA WATAMBIANA

MASTAA wa muziki Bongo, Msaga Sumu, Ali Kiba pamoja na Isha Mashauzi juzikati walitambiana kufunika katika shoo inayotambulika kama Mwana Dar Live itakayofanyika Aprili 5, mwaka huu (Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Wakizungumza na Centre Spread, kwa nyakati tofauti-tofauti mkali wa nyimbo za Mchiriku, Msaga Sumu alisema kuwa siku hiyo atahakikisha anatoa burudani ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani