Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMANDA ATUA KATIKA KIPINDI CHA ME & YOU LOVE

Mtangazaji wa Kipindi cha Me & You Love, Shorvieny Mohamed kupitia Global TV Online akiwa katika pozi na mwigizaji mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh 'Amanda' kabla ya kuanza mahojiano. Tamrina Posh 'Amanda' akikwa katika pozi wakati wa mahojiano.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIPINDI CHA ME & YOU WITH LOVE: AMANDA-NAPENDA MWANAUME ANIBUSU SHINGONI (PART- I)

Mtangazaji wa Kipindi cha Me & You Love, Shorvieny Mohamed (kushoto) kupitia Global TV Online akiwa katika pozi na mwigizaji mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh 'Amanda' kabla ya kuanza mahojiano. Tamrina Posh 'Amanda'…

 

9 years ago

Michuzi

Dj Bonny Love alivyokonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika usiku wa Heart & Soul kiota cha maraha cha Raphsody ndani ya Jengo la Viva Towers jijini Dar

Mkali wa magoma hapa nchini na nje, Dj Bon Love akifanya yake katika Usiku wa Heart & Soul uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota kinachobamba zaidi hapa mjini cha Raphsody, ndani ya Jengo la Viva Towers katikati ya Jiji la Dar. Dj Bon Love na maDJ wengine wakali hukutana pamoja kwenye kiota hicho ili kukonga nyoyo za wapenda Burudani kutoka maeneo mbalimbali.Usiku huo uliwezeswa kwa Udhanimi Mkubwa wa Kilaji ya Heineken.Baadhi ya Wadua wa Burudani wakiwepo DJ. Venture na...

 

9 years ago

Michuzi

J&M VIRGO WASHUSHA MALI MPYA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MSIMU WA SIKUKUU

 DUKA LA J&M VIRGO LIMEKUTELEA MALI MPYA NA ZA UHAKIKA KABISA KWAKO WEWE MTANZANIA MWENYE KUPENDA KUTOKA KIJANJA KATIKA MSIMU HUU WA SIKUKUU ZA KRISMAS NA MWAKA MPYA, MZIGO UMESHUKA JUZI TU TOKA MAJUU ILI UWEZE KUNG'AA KATIKA KIPINDI HIKI, WATEMBELEE  J&M VIRGO WENYE UHODARI WA KUUZA VIWALO VYA NGUVU NA VYA KISASA KATIKA DUKA LAO LILILOPO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA, JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA,  JIJI LA DAR ES SALAAM.
FIKA ILI UWEZE KUJIPATIA VIWALO VYA KIJANJA,POCHI BABKUBWA,MOKA...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dj Bon Love alivyokonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika usiku wa Heart & Soul

Mkali wa magoma hapa nchini na nje, Dj Bon Love akifanya yake katika Usiku wa Heart & Soul uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota kinachobamba zaidi hapa mjini cha Raphsody, ndani ya Jengo la Viva Towers katikati ya Jiji la Dar. Dj Bon Love na maDJ wengine wakali hukutana pamoja kwenye kiota hicho ili kukonga nyoyo za wapenda Burudani kutoka maeneo mbalimbali.Usiku huo uliwezeswa kwa Udhanimi Mkubwa wa Kilaji ya Heineken. Baadhi ya Wadua wa Burudani wakiwepo DJ. Venture na...

 

5 years ago

Michuzi

ZIARA YA KAMISHNA WA THBUB KATIKA HOSPITALI MKOA WA DODOMA,KITUO CHA KUTUNZA WATOTO NA WAZEE CHA HOME OF JOY AND LOVE

Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Dkt. Fatma Rashid Khalfani (kushoto) akikabidhi zawadi ya Keki kwa Mkurugenzi wa Wauguzi wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Stanley Mahundo (kulia) ikiwa ni ishara ya kuwapongeza Wauguzi kwa kazi nzuri wanayoifanya. Pamoja na keki hiyo, Dkt. Fatma alikabidhi pia sabuni kwa ajili ya Wauguzi hao kuzitumia kunawia mikono kwa ajili ya kujikinga na Korona.Mkuu  wa Kituo cha kutunza Watoto na Wazee cha Home of Joy and Love ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani