Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amber Rose na Wiz Khalifa wapost picha mpya za pamoja, mashabiki wawabembeleza warudiane

Mashabiki wa rapper Wik Khalifa na Amber Rose wana hamu ya kuona couple hiyo yenye mtoto mmoja inarudi kuwa pamoja. Amber Rose ameshare picha mpya (selfie) akiwa na baba wa mwanaye, Wiz Khalifa na kuandika ‘Still Ballin’, na upande wa Wiz Khalifa naye amepost picha nyingine akiwa anavuta bangi huku Amber akiwa amekaa pembeni yake. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wiz Khalifa, Amber Rose warudiana

amber-rose-wiz-khalifaBADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MWANAMITINDO maarufu nchini Marekani, Amber Rose amejikuta akirudisha moyo kwa baba mtoto wake, Wiz Khalifa, baada ya kuusilikiza wimbo wa msanii huyo uitwao ‘See You Again’.
Taarifa za kurudiana kwao zinaeleza kwamba Amber Rose baada ya kuusikia wimbo huo ukipigwa kwenye filamu ya Furious 7, alionekana mnyonge akakumbuka maisha walipokuwa wawili baada ya hapo alimpigia simu Wiz Khalifa akamuomba warudiane.
“Sisi ni wazazi japokuwa kulikuwa na mgogoro, lakini...

 

9 years ago

Global Publishers

Mtoto awarudisha Amber Rose na Wiz Khalifa

wiz-khalifa-amber-rose-divorce-gty-ftr Wiz Khalifa akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Amber Rose.

INAWEZEKANA! Staa wa Hip Hop, Wiz Khalifa pamoja na aliyekuwa mpenzi wake, Amber Rose hivi karibuni walijikuta wakila Sikukuu ya Krismasi kwa pamoja huku sababu kubwa ya kurudiana ikitajwa kuwa ni mtoto wao, Sebastian (4).

Photos-Amber-Rose-et-Wiz-Khalifa-aux-anges-avec-Sebastian-c-est-reparti-pour-un-tour_portrait_w674Chanzo kilicho karibu na mastaa hao, kinaanika ubuyu kuwa, wawili hao tangu watengane Septemba 2014 kila mmoja amekuwa akila bata kivyake lakini uthibitisho tosha ulijidhihirisha hivi karibuni baada ya Amber kuweka...

 

9 years ago

Mtanzania

Amber Rose, Wiz Khalifa wadumisha upendo

Amber na wizkhalifaNEW YORK, MAREKANI

BAADA ya penzi la Wiz Khalifa na Amber Rose kuyumba, kwa sasa wawili hao wameonekana kulidumisha penzi hilo kwa kufanya mitoko mbalimbali ya wazi.

Tangu warudi kwenye uhusiano miezi miwili iliyopita, kwa sasa wamekuwa wakiwa pamoja mitaani na mtoto wao kwa ajili ya kulitangaza penzi lao jipya.

“Ni furaha kubwa kuona familia ikiweza kulea mtoto, sikukuu hii tumeweza kutoka na mtoto wetu kwa ajili ya kuonesha upendo, tunaweza kuwa familia ya mfano bora,” aliandika Amber...

 

9 years ago

Mtanzania

Amber Rose, Wiz Khalifa waimarisha penzi lao

wizLOS ANGELES, MAREKANI

MKALI wa hip hop nchini Marekani, Wiz Khalifa na Amber Rose, wameonekana kuimarisha penzi lao baada ya juzi kukutwa mitaani wakiwa na mtoto wao.

Wawili hao walikuwa na uhusiano wa muda mrefu na kufanikiwa kupata mtoto wa kiume ambaye walimpa jina la Sebastian, lakini Septemba mwaka jana waliachana.

Taarifa zilisambaa kwamba wamerudiana baada ya msanii huyo kuachia wimbo wake mpya wa ‘See You Again’, ambapo wimbo huo ulimfanya mwanadada Amber Rose kushindwa kuzuia hisia...

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose: Nampenda, nammiss sana mume wangu (Wiz Khalifa)

Mwanamitindo, Amber Rose amekiri kuwa bado anampenda mume wake Wiz Khalifa licha ya kwamba wameachana. “Inaumiza,” Rose alijibu baada ya kuulizwa kuhusu anavyokabiliana na talaka. “Mimi ni binadamu, unajua? Nipo kwenye talaka. Nampenda mume wangu, nammiss sana na mambo mabaya hutokea.” Amber alimshutumu Wiz kuwa alisaliti ndoa yao.

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa kitandani akiwa na wasichana wawili mapacha

Kwa mujibu wa mtangazaji wa Hot 97, Peter Rosenberg, Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa akiwa kitandani na wasichana wawili mapacha. Rosenberg ambaye yeye na mke wake ni watu wa karibu na Amber amesema wasichana hao ni mapacha wanaofanana, waitwao Jas na Ness. Jass na Ness Wawili hao walionekana wakipiga picha na Wiz wiki mbili kabla […]

 

10 years ago

Bongo5

Talaka ya Amber Rose na Wiz Khalifa: Kila mmoja anamshutumu mwenzie kuchepuka

Ndoa ya Wiz Khalifa na Amber Rose imefika ukingoni. Amber Rose anamshutumu Wiz Khalifa kuwa amekuwa akimsaliti kwa kipindi kirefu na kumtolea sababu zisizo na kichwa wala wa miguu. Vyanzo vilivyo karibu na Amber, vimeiambia TMZ kuwa tangu kuanza kwa ziara ya Wiz, July mrembo huyo amekuwa akimhisi mume wake kuchepuka. Amber anawaambia marafiki zake […]

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose aamua kujisafisha kwa kukana kumsaliti mumewe Wiz Khalifa

Baada ya Amber Rose kudai talaka kwa mumewe na baby dady wake Wiz Khalifa, sababu ambazo zimekuwa zikitajwa kuwa chanzo ni kuwa wawili hao walisalitiana na kupelekea ndoa yao iliyodumu kwa mwaka mmoja kufika ukingoni. Amber Rose ameamua kuweka mambo sawa upande wake kwa kujitetea kuwa hakuwahi kumsaliti mumewe. “Please stop with the fake stories. […]

 

9 years ago

Bongo5

Nimewasamehe Wiz Khalifa na Kanye West kwa matusi waliyonitukana — Amber Rose

Mrembo na mke wa zamani wa Wiz Khalifa, Amber Rose alijikuta akibubujikwa na machozi wakati akiongea na umati wa watu kwenye tukio la SlutWalk jijini Los Angeles, Jumamosi iliyopita. Rose, 31, aliandaa tukio hilo ambalo pia mama yake alimuunga mkono ambapo kwenye hotuba yake aliuambia umati kuwa imemchukua muda mrefu kuweza kuwasamehe maex wake Kanye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani