Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anguko la bei latikisa uchimbaji wa uranium

Wakati Tanzania ikitarajia kuanza kufaidika na madini ya urani, huenda ndoto hiyo isitimie hivi karibuni kutokana na anguko kubwa la bei ya madini hayo katika soko la dunia. Anguko hilo la bei linatokana na mlipuko uliotokea katika mtambo wa nguvu za atomiki wa Daiichi Fukushima, Japan, Machi 2011 na kusababisha bei yake kushuka kwa zaidi ya asilimia 61, ikilinganishwa na ilivyokuwa kabla. Mlipuko kwenye mtambo huo wa nguvu za atomiki ulisababisha Serikali ya Japan kufunga mitambo mingine...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MADINI: Anguko la bei latikisa uchimbaji wa urani

>Wakati Tanzania ikitarajia kuanza kufaidika na madini ya urani, huenda ndoto hiyo isitimie hivi karibuni kutokana na anguko kubwa la bei ya madini hayo katika soko la dunia.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani

1. Mchimbaji mdogo wa Mererani, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Kinana vifaa vya uchimbaji amnavyouza kwa wachimbaji wengine pia

Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite  kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro,  Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...

 

9 years ago

TheCitizen

I will invest in uranium, says Magufuli

The CCM presidential candidate, Dr John Magufuli, said his government will put special emphasis on mining of uranium in Namtumbo District in order to spur the country’s development if elected president in the October General Election.

 

11 years ago

BBC

UN to check Libya uranium stockpiles

The United Nations says nuclear inspectors will visit Libya to assess its uranium stockpiles, amid concerns about fragile security in the country.

 

11 years ago

TheCitizen

Confusion lingers over uranium find

The cat fight between the government and non-governmental organisations that deal with sensitising the mass concerning Uranium mining in Bahi, has done nothing but confuse wananchi on what is the truth concerning this metal.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran inasitisha mradi wa Uranium

Shirika la Umoja wa mataifa la kudhibiti nguvu za nuklia, limesema kuwa Iran imeanza kutekeleza makubaliano juu ya mkataba kuhusu mpango wake wa kurutubisha madini ya Uranium.

 

9 years ago

TheCitizen

Bahi residents up in arms against uranium mining

Residents of areas where uranium has been discovered in Bahi District, Dodoma Region are yet to be relocated even as the period set to start extraction approaches, The Citizen has learnt.

 

11 years ago

TheCitizen

Dar not ready for uranium mining: study

Civil society wants the government to immediately suspend its plans to explore uranium mining, citing health hazards Tanzania is not in a position to deal with.

 

11 years ago

TheCitizen

Uranium firm, TZ in Sh1.3bn deal

Mantra Tanzania Limited and the Wildlife Division of the Ministry of National Resources and Tourism signed a formal Memorandum of Understanding (MoU), which calls for both sides to closely coordinate and cooperate to combat elephant poaching in the southern Selous Game Reserve.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani