Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal, City kujiuliza upya

>Jose Mourinho anahitaji kuona kiwango cha Eden Hazard wakati Chelsea watakapokuwa wakisaka kujikita kileleni kwa kuivaa Everton leo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Manchester City kujiuliza kwa Swansea City EPL

Manchester-City-v-Bayern-MunichLONDON, UINGEREZA

HII inaweza kuwa nafasi nyingine kwa klabu ya Manchester City ya kuongoza Ligi Kuu England kwa tofauti ya mabao ikiwa itaweza kuifunga mabao zaidi ya mawili klabu ya Swansea City.

Hatua hiyo inakuja baada ya kuonekana endapo itafanikiwa kupata alama tatu katika mechi hiyo itafungana kwa alama 32 dhidi ya kinara wa ligi hiyo, Leicester City, hivyo itazilazimu klabu hizo kutofautiana kwa mabao ya kufunga.

Hata hivyo, endapo Manchester City itafanikiwa kupata matokeo mazuri...

 

10 years ago

Mwananchi

Man Utd, Arsenal, Chelsea kuwasha moto upya England

Ligi Kuu England inaendelea leo kwa mechi kadhaa ingawa haiwezi kubadili msimamo wa ligi hiyo, hasa kwenye nafasi za juu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwambusi aisuka upya Mbeya City

Kocha Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema tatizo kubwa kwa sasa katika kikosi chake ni safu ya ushambuliaji ambayo ameendelea kuisuka ili wafanye vyema Ligi Kuu Bara itakapoendelea.

 

11 years ago

BBC

Arsenal 2-2 Swansea City

Mathieu Flamini's calamitous own goal denies Arsenal a win over Swansea as the Gunners' miserable week continues.

 

11 years ago

BBC

Manchester City 6-3 Arsenal

Yaya Toure helps Manchester City beat Arsenal to maintain their 100% home record in the Premier League and close the gap on the leaders.

 

11 years ago

GPL

FT: MAN CITY 6 - 3 ARSENAL

Wafungaji wa Manchester City Sergio Agüero 14' , Álvaro Negredo 39', Fernandinho 50',  David Silva 66' , Fernandinho 88 Mfungaji wa Arsenal ni Theo Walcott 31',  63' na Mertesacker 90' LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK HAPA >> GLOBAL PUBLISHERS

 

11 years ago

Mwananchi

Man City yaichakaza Arsenal

England. Manchester City imepunguza kasi ya Arsenal katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya soka England baada ya kuichapa mabao 6-3.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal wabwagwa na Man City 6-3

Manchester City, wametoa ujumbe mkali kwa mahasimu wao kwenye ligi ya Premier Arsenal baada ya kuwacharaza mabao sita kwa matatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Arsenal, Man City kikaangoni

England inaweza kukosa mwakilishi kwa mara ya pili ndani ya miaka mitatu katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kama Arsenal na Manchester City watashindwa kulipa kisasi katika michezo yao ya leo na kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani