Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARSENAL YATWAA KOMBE LA FA KWA KUICHAPA ASTON VILLA 4-0

Mabingwa mara 12 wa Kombe la FA, Arsenal baada ya ushindi wa leo dhidi ya Aston Villa. Arsenal wakisherehekea ubingwa wao wa FA. Theo Walcott akiifungia Arsenal bao la kwanza katika…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ARSENAL YA WAGALAGAZA ASTON VILLA NA KUNYAKUWA KOMBE LA FA KWA MARA YA 12


Theo Walcott akiifungia Arsenal bao la kwanza katika dakika ya 40.
Walcott akishangilia bao hilo.
Arsenal wakisherehekea ubingwa wao wa FA.
Theo Walcott akiifungia Arsenal bao la kwanza katika…
Mabingwa mara 12 wa Kombe la FA, Arsenal baada ya ushindi wa leo dhidi ya Aston Villa.
Arsenal wakisherehekea ubingwa wao wa FA.
Alexis Sanchez (kushoto) akipiga shuti lililojaa wavuni na kuiandikia Arsenal bao la pili.
Per Mertesacker akipiga mpira wa kichwa uliozaa bao la tatu kwa Arsenal.
Olivier Giroud...

 

10 years ago

GPL

FAINALI KOMBE LA FA ARSENAL INATAKA REKODI KWA ASTON VILLA

London,England ARSENAL leo Jumamosi inacheza fainali yake ya 19 ya Kombe la FA huku ikiwa na rekodi ya kuwa kinara wa kutwaa mara nyingi taji hilo sambamba na Manchester United ikiwa imetwaa mara 11.Klabu hii ya London, kwenye Uwanja wa Wembley inacheza na Aston Villa ya jijini Birmingham. Mshambuliaji wa Arsenal, Alex Sanchez. Hadi inafikia hatua ya kucheza fainali, Arsenal iliitoa Reading katika nusu fainali wakati Aston Villa...

 

5 years ago

CCM Blog

MANCHESTER CITY YAIBUKA KIDEDEA CORABAO CUP KWA KUICHAPA ASTON VILLA 2-1


Dakika 90 za Mchezo  Kati ya Manchester City  na Aston Villa kwenye Uwanja wa Wembley  zimemalizika ....Manchester City Wamebeba Ubingwa wa Carabao Cup kwa msimu wa tatu mfululizo baada ya kuichapa Aston Villa 2-1


Hata hivyo, Mtanzania Mbwana Samatta amekuwa mchezaji wa kwanza wa Tanzania kuifunga goli Manchester City  na amekuwa mchezaji wa tano kutoka Bara la Afrika kufunga kwenye Kombe la Ligi, wengine ni Didier Drogba , Joseph-Désiré Job, Obafemi Martins na Yaya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ivory Coast yatwaa ubingwa kombe la AFCON 2015 kwa kuichapa Ghana 9-8

0f746cc1-2dc6-49fb-a44f-c7adb6a14c7f-2060x1236

Ivory Coast v Ghana Photograph: Khaled Desouki/AFP/Getty Images

And Barry scores!!!!! IVORY COAST ARE 2015 AFRICA CUP OF NATIONS CHAMPIONS.

What an amazing way to finish it. They could not be separated after 90 minutes. They could not be separated after an additional 30. The regular five penalties could not separate them either and it went all the way to the goalkeepers in sudden death. Braimah had his saved by Barry, who then stepped up to score the deciding kick.

Congratulations to Ivory...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaisakama Aston Villa 5-0

Arsenal imepanda hadi nafasi ya tano juu ya Tottenham katika ligi ya Uingereza baada ya kuicharaza Aston Villa mabao 5-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaibamiza Aston Villa 3 - 0

Arsenal jumapili wameisambaratisha Aston Villa kwa jumla ya magoli 3 - 0 katika mechi ya Ligi Kuu ya England.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aston Villa yaipania Arsenal fainali FA

Baada ya Aston Villa kushinda bao 2-1 dhidi ya Liverpool katika mechi ya nusu Fainali michuano ya FA Cup.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la FA:Aston Villa yaibwaga Liverpool

Aston Villa imetinga fainali baada ya Fabian Delph kufunga bao la pili na la ushindi dhidi ya Liverpool

 

5 years ago

Birmingham Live

Arsenal join Man City in transfer chase for highly-rated Aston Villa youngster - report

Arsenal join Man City in transfer chase for highly-rated Aston Villa youngster - report  Birmingham LiveChief explains why sales to Sheffield United and Aston Villa 'inevitable' - Player's couldn't be retained  Sport WitnessVardy in contention for return against Villa - Rodgers  SuperSportArsenal Exclusive: Arteta sets sights on beating Guardiola to Aston Villa starlet  Football InsiderThe bullish Aston Villa proposition that's got supporters talking  Birmingham LiveView Full coverage on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani