Asia Idorous kufunga pazia Swahili Fashion Week leo
p>MBUNIFU mkongwe wa mitindo na mavazi nchini, Asia Idarous Khamsin, anatarajiwa kufunga pazia la maonesho ya sita ya Swahili Fashion Week – SFW 2013, katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziONESHO LA SWAHILI FASHION WEEK LAZINDULIWA JIJINI DAR LEO
Mwanamitindo wa hapa nchini, Mustafa Assanali kulia na Katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania, Godfrey Mngereza wakifungua pazia kuzindua Onesho la Swahili Fashion Week leo katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam aambalo litakuwa na mwendelezo wa kuonesha ubunifu wa mitindo kwa siku tatu mfululizo litakalokuwa likifanyika katika hoteli ya Sea Clief jijini Dar es Salaam. Mwanamitindo wa hapa nchini, Mustafa Assanali akizunguza na waandishi wa habari leo katika mkutano...
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Maonyesho ya Swahili Fashion Week
Makala ya nane ya maonyesho ya mitindo ya mavazi ya Swahili Fashion Week yaliandaliwa wiki hii jijini Dar es Salaam, washiriki wakionyesha mitindo 'iliyotengenezewa Afrika'.
10 years ago
VijimamboSWAHILI FASHION WEEK 2014
Swahili fashion week mwaka huu itakusanya wabunifu 24 kutoka ndani na nje ya Tanzania watakaoonesha mitindo na ubunifu wao wenye kuendana na wakati utakaoshika soko la Afrika mashariki.
" Swahili Fashion week mwaka huu ina lengo la kuifikia jamii zaidi na kuendeleza vipaji katika tasnia ya mitindo na ubunifu wa mavazi. Lengo ni kuendeleza vipaji vya wabunifu wa ndani ili waweze kujulikana kimataifa zaidi". Amesema Washington Benbella meneja mradi wa Swahili fashion week.
Ikiwa ni mwaka wa 7...
9 years ago
TheCitizen11 Dec
How Swahili Fashion Week lived up to its billing
The 2015 Swahili Fashion Week (SFW) came to a pulsating close this past weekend. The 3 day event saw some of Africa’s biggest designers converge in Dar es Salaam to witness and take part in what has become East and Central Africa’s biggest fashion spectacle. Designers from South Africa, Nigeria, Rwanda, Kenya, Ethiopia, USA and hosts, Tanzania all took part in the event which was marked with sheer fashion brilliance as the runway was lit ablaze with spectacular designs.
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
9 years ago
MichuziSWAHILI FASHION WEEK AWARD WINNERS 2015
MALE MODEL OF THE YEARChichi Maugo
BAILEYS FEMALE MODEL OF THE YEARUpendo Mlay (Arusha)
EAST AFRICAN MODEL OF THE YEARVivian Mutesi (Uganda)
NEW FACE OF THE YEARSuma YM
DARLING HAIR AND MAKE UP ARTIST OF THE YEARSimply Gorgeous
ACCESSORY DESIGNER OF THE YEARKauli (Moshi)
STYLISH MALE PERSONALITYRio Paul
BAILEYS STYLISH FEMALE PERSONALITYJokate Mwegelo
EMERGING DESIGNERS COMPETITION 2015 WINNERLilian Patropa
EATV EAST AFRICAN DESIGNER OF THE YEARSylvia Owori (Uganda)
KHIMJI'S UPCOMING DESIGNER OF THE...
BAILEYS FEMALE MODEL OF THE YEARUpendo Mlay (Arusha)
EAST AFRICAN MODEL OF THE YEARVivian Mutesi (Uganda)
NEW FACE OF THE YEARSuma YM
DARLING HAIR AND MAKE UP ARTIST OF THE YEARSimply Gorgeous
ACCESSORY DESIGNER OF THE YEARKauli (Moshi)
STYLISH MALE PERSONALITYRio Paul
BAILEYS STYLISH FEMALE PERSONALITYJokate Mwegelo
EMERGING DESIGNERS COMPETITION 2015 WINNERLilian Patropa
EATV EAST AFRICAN DESIGNER OF THE YEARSylvia Owori (Uganda)
KHIMJI'S UPCOMING DESIGNER OF THE...
9 years ago
MichuziVODACOM YAENDELEA KUNOGESHA SWAHILI FASHION WEEK
Mwanamitindo akipita mbele ya watazamaji katika onesho la Swahili Fashion Week lililomalizika jana katika hoteli ya Sea Cliff, akiwa amevalia mavazi ya lebo ya Kibout ya mbunifu wa hapa nchini, onesho hilo limedhaminiwa na Kampuni ya simu ya Vodacom. Mbunifu wa mavazi wa lebo la Kibout Evamary Sospeter de Block akipita mbele ya watazamaji jana baada ya kuonesha mavazi yake katiak oneso la Swahili Fashion Week lililomalizika jana katika hoteli ya Sea Cliff chini ya udhamini wa kampuni ya...
10 years ago
Michuzi06 Dec
Your Last Chance to VOTE SWAHILI FASHION WEEK 2014
SWAHILI FASHON WEEK & AWARDS 2014
POP UP SHOP on Sunday 7th December hosted By Alexis Grahamwife of Candaian High Commissioner to Tanzania at her residence onToure Drive from 1-5PM - FREE ENTRY
VOTING Lines close at Midnight (EAT) VOTE NOW
Tickets available ONLY@ EPIDOR in Masaki @30,000TZS
Tickets at entrance is priced at 40,000TZS5-7 December 2014
HOTEL SEA CLIFF
DAR ES SALAAM
CONTACTS:
General: +255757828832
POP-UP SHOP:+255787747918
VIP FRONT ROW Tickets SMS:+255767222441ShareTweetForward+1
9 years ago
MichuziSWAHILI FASHION WEEK AWARDS nominees announced.
To Vote for that whom you think Deserves to win SIMPLY TEXT nominees Code to 15670 or vote via email by Putting the CODE in the SUBJECT and send to vote@swahilifashionweek.com or Simply CLICK on our WEBSITE to vote ONLINE.
For complete list CLICK HERE
For complete list CLICK HERE
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10