AUDIO: Sofia Remix By Peter Msechu-Original Song By Ben Paul
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi16 Jul
9 years ago
Bongo507 Oct
Video: Ama The Maker Ft. Don Paul & Peter Msechu – Bachelor
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hxYL2ugxNTE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
11 years ago
Michuzi05 Aug
Reviewed & Re-Released: "Ni Raha Tu"-AY [Original And Remix]-Listen And Download
![Ni Raha Tu-AY](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/08/Ni-Raha-Tu-AY.jpg)
The country had lost her founding father, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere a year earlier. Everyone was devastated and worried. The...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Please vote for PETER MSECHU
I would like to ask for your vote on AAFRIMA 2014 NIGERIA.. am nominated as BEST MALE ARTIST IN EAST AFRICA. to vote for me click this link bellow and scrow down you will see my picture with a box writen "VOTE" by cliking this box your vote will be counted..
http://afrima.org/index.php/vote/continental-category/the-regional-categories/best-male-artiste-in-east
would be greatful if you will help me share this link on your facebook/twitter/instagram accounts.
NAKUSHUKURU SANA SANA.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Mastori na Peter Msechu
9 years ago
Bongo504 Jan
New Video: Peter Msechu – Malava
![Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Msechu-300x194.jpg)
2015 haukuwa mwaka mbaya kwa muimbaji Peter Msechu, ambaye mbali na kutengeneza mkwanja mrefu katika kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu uliopita, lakini pia aliweza kuachia kazi kadhaa ikiwemo wimbo huu ‘Malava’. Msechu anauanza mwaka mpya 2016 kwa kutambulisha video ya wimbo huo ambao audio yake ilitoka mwezi November, 2015. Video imeongozwa na director wa Kenya, Kevin Bosco Jnr.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari...
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Nyimbo 10 zamchelewesha Peter Msechu
Na Leticia Bwire (TUDARCO)
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Peter Msechu, amesema nyimbo 10 alizokuwa akiziandaa pamoja na video zake ndizo zinazomfanya awe kimya kimuziki.
“Nimekuwa kimya kwa muda mrefu kwa kuwa nilikuwa najipanga kuachia ngoma zangu mpya ambazo kwa sasa ndiyo namalizia video zake.
“Nimeshatimiza nyimbo 10 ambazo zipo katika hatua ya mwisho kukamilisha video zake hivyo mashabiki wangu wakae tayari kupokea kazi nyingi zenye ubora wa kutosha kutoka kwangu,” alieleza...