Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam FC yanogewa kileleni

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amewataka wachezaji wake kutoridhika na ushindi wa mabao 4-2, walioupata dhidi ya JKT Ruvu, badala yake waongeze juhudi ili waweze kunyakua ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Azam FC yarudi kileleni

TIMU ya soka ya Azam FC imefanikiwa kurudi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, baada ya jana kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro katika pambano lililofanyika Uwanja wa Azam Complex Chamazi Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yakaa kileleni

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam wamerudi kileleni mwa ligi hiyo baada ya kuichapa Mbeya City kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

9 years ago

Habarileo

Azam kupaa kileleni

AZAM kukaa kileleni leo?

 

9 years ago

Mtanzania

Azam yaiporomosha Yanga kileleni

azamNA JENIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

TIMU ya Azam FC imeitibulia Yanga kwa kuitoa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya  kuifunga Mtibwa Sugar bao 1-0 na kukwea juu yao katika mchezo uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

Kwa matokeo hayo, Azam wamefikisha pointi 35 wakiishusha Yanga nafasi moja ambao wana pointi 33 katika msimamo wa ligi hiyo.

Lilikua bao la mshambuliaji John Bocco, ambalo lilitosha kuirejesha Azam kileleni, baada ya kufunga bao pekee...

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam kuitoa Yanga kileleni?

Mabingwa wa Tanzania Bara, Azam itacheza na Mtibwa Sugar Jumatano katika jitihada za kuiondoa kileleni mwa ligi, klabu ya Yanga.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaitoa Yanga kileleni

AZAM jana ilishika usukani wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya JKT Ruvu. Mchezo huo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu ulifanyika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, ambapo hadi mapumziko washindi walikuwa mbele kwa mabao 2-1.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yaipumulia Yanga kileleni

Azam FC imefanikiwa kupunguza pengo la pointi dhidi ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, baada ya jana kuifunga Kagera Sugar kwa mabao 2-0.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yaifuata Yanga kileleni

Mabingwa wa Kombe la Kagame, Azam wameutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani baada ya kuichapa Mbeya City kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jana.

 

10 years ago

Mtanzania

Azam yaishusha Yanga kileleni

Pg 32 feb 12NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), Azam FC, jana walirejea kuongoza ligi kwa kishindo baada ya kuibamiza bila huruma Mtibwa Sugar mabao 5-2 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Kwa matokeo ya jana, Azam imefikisha pointi 25 sawa na Yanga lakini zikiwa zimetofautiana kwa mabao ya kufunga na kufungwa.
Azam ilianza kupata karamu hiyo ya mabao kupitia kwa mshambuliaji wake wa kimataifa, Didier Kavumbagu dakika ya 19,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani