BALOZI LIBERATA MULAMULA AIPONGEZA NA KUIMWAGIA SIFA ZANZIBAR HEROES KWA KUTWAA
Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico amewapongeza wachezaji na viongozi wa Zanzibar Heroes kwa kunyakua kombe la Muungano kwa mechi iliyofanyika siku ya Jumamosi April 25, 2015 Capitol Heights, Maryland nchini Marekani.
Katika salamu za pongezi Mhe. Liberata Mulamula pia aliwashukuru Peoples Bank of Zanzibar kwa udhamini wao na kuwaomba kuendelea kuwa na moyo huo huo wa kuitambua Diaspora ni sehemu ya Tanzania na mchango mkubwa katika kusukuma gurudumu la maendeleo Tanzania.
Pia Mhe....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi20 Feb
10 years ago
Michuzi23 Dec
11 years ago
GPL20 Feb
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AKIBIDHIWA OFISI RASMI NA BALOZI JOHN HAULE
10 years ago
VijimamboMA WINNY CASEY AWATAMBULISHA LADY KATE, MUMEWE NA MISS AFRICA USA KWA BALOZI LIBERATA MULAMULA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zcfen7qB52M/VHahf8MGGKI/AAAAAAAGzr8/WtF599PtJ_4/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
BALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA ZIMBABWE NCHINI MAREKANI UBALOZINI TANZANIA HOUSE
10 years ago
VijimamboMHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA ZIMBABWE NCHINI MAREKANI UBALOZINI TANZANIA HOUSE
Mhe. Liberata Mulamula, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani amemkaribisha Mhe. Ammon Mutembwa, Balozi mpya wa Jamhuri ya Zimbabwe Ubalozini Tanzania House, Washington DC, Marekani, Jumatano Novemba 26, 2014. Katika mazungumzo yake na Balozi Mutembwa, Mhe. Balozi Mulamula alimweleza Balozi huyo kwamba ajisikie kwamba yuko nyumbani. Mhe. Mulamula aliendelea kwa kusema kwamba Tanzania na Zimbabwe zina mahusiano ya kihistoria na kwa msingi huo ni vyema kutafsiri kwa vitendo...
10 years ago
VijimamboPICTURE OF THE DAY BALOZI LIBERATA MULAMULA