Balozi mpya wa Marekani nchini amtembelea Waziri Muhongo
Na Veronica Simba
Balozi mpya wa Marekani hapa nchini Mhe. Mark Childress leo ametembelea Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Waziri mwenye dhamana, Profesa Sospeter Muhongo.
Katika mazungumzo yao, Balozi Childress aliyeambatana na Ujumbe wake ameahidi nchi yake kuimarisha ushirikiano na Tanzania kwa kuwekeza katika miradi mbalimbali ya maendeleo hususan katika sekta ya gesi asilia.
Awali, Profesa Muhongo alimweleza Balozi Childress...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VFJGFbvS1sE/VDvTFz48r1I/AAAAAAAGpyc/O_XEnLx7cUs/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
BALOZI WA FINLAND NCHINI BI. SINIKKA ANTILA AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFJGFbvS1sE/VDvTFz48r1I/AAAAAAAGpyc/O_XEnLx7cUs/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqbEEzHHDhc/VDvTGPwj6bI/AAAAAAAGpyY/HUfcOgbvZdo/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_0023.jpg?width=550)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AMTEMBELEA MH. MOHAMMED DEWJI
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Balozi wa Marekani Nchini amtembelea mwanasheria Mku wa Serikali
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Leo Jijini Dar es Salaam.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju (mwenye tai nyekundu) akiwa katika picha ya pamoja na balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress(wa pili kulia) mara baada ya mazungumzo.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress akimuaga Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju alipomtembelea...
10 years ago
VijimamboBALOZI WA MAREKANI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SPaUTzZZXiw/VL39pep1mpI/AAAAAAAG-ZI/WrHz_pTtS88/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
BALOZI WA MAREKANI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SPaUTzZZXiw/VL39pep1mpI/AAAAAAAG-ZI/WrHz_pTtS88/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-33aOx73lr-c/VL39pdkffWI/AAAAAAAG-ZM/8ZNVhzFrZhg/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fuNPVzDZUlE/Vozrnk7aVCI/AAAAAAAIQyU/3Uto_Q0gido/s72-c/1.jpg)
BALOZI WA NORWAY NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI NAPE OFISI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fuNPVzDZUlE/Vozrnk7aVCI/AAAAAAAIQyU/3Uto_Q0gido/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g1KWmXOkgNU/VozrndJqmyI/AAAAAAAIQyQ/c16gw0yyh6o/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uTs3KaPYcs0/U-CnYTQbd4I/AAAAAAAF9OU/0nVNQ_FhkhU/s72-c/PIX+1.jpg)
BALOZI WA UJERUMANI NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE D’SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-uTs3KaPYcs0/U-CnYTQbd4I/AAAAAAAF9OU/0nVNQ_FhkhU/s1600/PIX+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mdiz8sw5E2w/U-CnY1KVWPI/AAAAAAAF9OY/hj4_xHeGQzI/s1600/PIX+2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n2V8y6DY7gI/U3CDbH9x6sI/AAAAAAAFhC4/00cmR9g8_SE/s72-c/unnamed+(13).jpg)
BALOZI WA FINLAND NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI OFISINI KWAKE LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-n2V8y6DY7gI/U3CDbH9x6sI/AAAAAAAFhC4/00cmR9g8_SE/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L7drB5PBa5Q/U3CDbBctMmI/AAAAAAAFhCs/UBsGZeGVjCg/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wPrcGgky0Fk/U3CDbSvQFqI/AAAAAAAFhCw/rQCYj-JcqrI/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
VijimamboBALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA AMTEMBELEA WAZIRI WA UCHUKUZI OFISINI KWAKE LEO MCHANA