BAVICHA Muhimbili wafundwa kuijua CHADEMA
BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Tawi la Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili Jumanne iliyopita limevuna wanachama wapya 20. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KmEZK3uDRHI/VMZyc0nUGFI/AAAAAAAAM5o/391cb9-QvlA/s72-c/IMG-20150126-WA0033.jpg)
MWENYEKITI WA BAVICHA TAIFA CHADEMA AWAHUTUBIA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmEZK3uDRHI/VMZyc0nUGFI/AAAAAAAAM5o/391cb9-QvlA/s640/IMG-20150126-WA0033.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mNSYOex0h8I/VMZydChCucI/AAAAAAAAM5s/94QaMrAFvSA/s640/IMG-20150126-WA0034.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PHKLzrzCKko/VMZydPzGpgI/AAAAAAAAM5w/KIh5-jkCjig/s640/IMG-20150126-WA0035.jpg)
Wananchi wa wilaya ya mufindi mkoani Iringa wamelalamikia ugumu wa...
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Mbunge wa Chadema alazwa Muhimbili
![Mbunge wa viti Maalum kwa tiketi ya CHADEMA, Maulida Anna Komu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Maulida-Anna-Komu.jpg)
Mbunge wa viti Maalum kwa tiketi ya CHADEMA, Maulida Anna Komu
Hadia Khamis na Jonas Mushi, Dar es Salaam
MBUNGE wa viti Maalum kwa tiketi ya CHADEMA, Maulida Anna Komu, amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa wiki mbili sasa.
Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Taifa Muhimbil,i Dorris Ishenda, alisema jana kuwa Komu alifikishwa hospitalini hapo wiki iliyopita na kulazwa katika wodi ya magonjwa ya moyo.
“Ni kweli amelazwa katika wodi ya magonjwa ya moyo kwa ajili ya matibabu na...
9 years ago
Bongo531 Dec
Wema Sepetu amdiss Diamond kwa namna isiyo rahisi kuijua!
![10570140_331847836939369_2031665733_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10570140_331847836939369_2031665733_n-300x194.jpg)
Si unajua kuna lile sakata la jina Simba ambalo Diamond amekuwa akilitumia na Mr Blue hivi karibuni kudai alilianzisha yeye?
Na sasa issue hiyo inaenda mbali zaidi. Wema ametumia Instagram kuingia pia kwenye issue hiyo katika njia ambayo inaishia kuwa dongo kwa ex wake.
“Watu walikuwa wanasubiria na mimi nitaje jina langu la mnyama… Mi ni Mnyama Ndio na Jina Langu ni WEMA SEPETU…. Gnyt Y’all…. Langu mwenyewe hilo…. Ila Balozi Kasema…. hihihihihi,” aliandika Wema.
Bila shaka bado hujaiona...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-42hoMhp4nWg/VSy0OJFmK-I/AAAAAAABLdE/jwX7WPi12Cg/s72-c/iStock_000019688253Small-2.jpg)
JE UNAITAMBUA SIRI YA HERUFI YA MWANZO YA JINA LAKO BASI SOMA HAPA KUIJUA SASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-42hoMhp4nWg/VSy0OJFmK-I/AAAAAAABLdE/jwX7WPi12Cg/s1600/iStock_000019688253Small-2.jpg)
HERUFI AMwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira.
HERUFI BMwenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.
HERUFI CMwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NI082Wc-Gc/XmN4fLYwgoI/AAAAAAALhsQ/WTDnRBV2vxo_WElcwyd7pGXY3fJQkTVoQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-19-2048x1365.jpg)
Vodacom Tanzania yatoa hamasa kwa vijana kuijua Teknolojia ya Habari kupitia mradi wa Code Like A Girl
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NI082Wc-Gc/XmN4fLYwgoI/AAAAAAALhsQ/WTDnRBV2vxo_WElcwyd7pGXY3fJQkTVoQCLcBGAsYHQ/s640/1-19-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/4-14-scaled.jpg)
9 years ago
Habarileo16 Dec
Tucta wafundwa
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Afrika (OATUU), Mezholid Arezki amehimiza Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania(Tucta) kushirikiana kuhakikisha wanaboresha maslahi ya wafanyakazi nchini.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Waajiri wafundwa
WAAJIRI wametakiwa kushiriki Siku ya Taaluma nchini (Career Day) ambayo hufanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara cha Moshi (MUCCoBS) kama sehemu muhimu ya kukutana na watu...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Walimu Tabora wafundwa
WAHITIMU 175 wa Chuo cha Ualimu Tabora wameaswa kutumia mafunzo ya ualimu waliyopata kwa uadilifu na kamwe wasije kuwa mzigo kwa serikali na jamii. Meneja wa Mfuko wa PSPF Mkoa...
9 years ago
Habarileo03 Jan
Makatibu wakuu wafundwa
MAKATIBU Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioteuliwa na kuapishwa juzi wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya semina elekezi iliyoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.