Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bi. Bernadette Mathias akiimba Wimbo wa Tanzania Nakupenda kwa Kiswahili

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ngoma azipendazo ankal: Tanzania, Tanzania nakupenda.....

Mrs Bernadette Mathias akiimba Wimbo wa Tanzania Nakupenda kwa Kiswahili

 

9 years ago

Bongo5

Video: Yemi Alade kuandika wimbo wa Kiswahili?

f173715336735b1f02bb82ab37f969b5-676x476

Kiswahili ni lugha isiyopingika kwa sasa.

Miaka ya hivi karibuni wasanii wengi kutoka kwenye nchi zisizozungumza Kiswahili wakiwemo Ice Prince, Mafikizolo, KCEE na wengine wamechomeka Kiswahili kwenye ngoma zao.

Huenda hitmaker wa Johnnie, Yemi Alade naye akafuata.

Muimbaji huyo amepost kipande kifupi cha video kwenye Instagram akiimba mashairi ya Kiswahili na kuandika: When you wake up thinking of the swahili @bienaimesol taught you… #forMySwahilispeakingFans Score me over 10.”

Anadai...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Dela wa ‘Asante’ ya AY afanya cover ya Kiswahili ya wimbo wa Adele ‘Hello’

adele_two

Zimeshafanyika cover za kila aina za wimbo maarufu wa Adele ‘Hello’ uliopo kwenye albamu yake mpya 25.

Na sasa muimbaji wa Kenya, Dela aliyewahi kushirikishwa na AY kwenye wimbo wake Asante, amekuja na cover ya Kiswahili ya wimbo huo and it’s fire.

“Hello! It was wonderful translating this amazing song by Adele. Thanks a million to Sauti Sol’s @Fancyfingers1 the much talented Benjamin Webi and Andrew Wanjohi. We got goosebumps producing this.
I hope you do, too,” ameandika...

 

11 years ago

Bongo5

Video: Wanafunzi wa Kiswahili chuo kikuu cha Florida na project ya wimbo wa Diamond

Hii ni video ya wanafunzi wa awali wa lugha ya Kiswahili walioshiriki kwenye mradi wa mwaka 2014 uitwao African Language Initiative (AFLI) katika chuo kikuu cha, Gainesville, Florida nchini Marekani. Wakijifunza lugha hiyo kwa miezi sita, waliamua kutengeneza filamu hii fupi kama kumbukumbu ya muda mzuri waliokuwa nao kwenye mradi huo ulioongozwa na Wakenya, Filipo […]

 

11 years ago

Mwananchi

KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi

Ngeli ni vikundi vya majina ya Kiswahili. Ngeli za nomino ni utaratibu unaotumika kuweka nomino katika matabaka au makundi yanayofanana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani