'Black Lives Matter': 'Ni jukumu langu kama mzazi kumwambia kuhusu ubaguzi'
Kuungwa mkono kwa vuguvugu za harakati za mtu mweusi 'Black Lives Matter' kuenea nchini Uingereza tangu kuuliwa kwa George Floyd, tukio hilo limesababisha wazazi wengi kupata wakati mgumu kuwafafanunulia watoto wao kuhusu ubaguzi wa rangi.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania