Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOBBI CHRISTINA BROWN DAUGHTER OF WHITNEY HOUSTON DIES AT 22, FAMILY CONFIRMS


Following a tragedy that echoed the death of her mother,Whitney Houston, Bobbi Kristina Brown has died, PEOPLE confirms. She was 22. 

The Houston family announced the news via a statement from their rep. 

"Bobbi Kristina Brown passed away July, 26 2015, surrounded by her family," the statement says. "She is finally at peace in the arms of God. We want to again thank everyone for their tremendous amount of love and support during these last few months." 



Bobbi Brown and her mother Whitney...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Whitney Houston's Daughter Bobbi Kristina Dead at 22

Whitney Houston and Bobby Brown's daughter Bobbi Kristina has died at the age of 22.
She passed away outside Atlanta in the hospice care facility where she's been since June 24 ... when her family decided to take her off all meds. As we first reported, a specialist had told them there was no chance of recovery. Bobbi Kristina was found submerged in her bathtub on January 31, and police believe she was underwater for anywhere between 2 and 5 minutes. Paramedics were able to resuscitate her,...

 

10 years ago

TheCitizen

Whitney Houston & Bobby Brown's Daughter Passes After Nearly 7-Month Coma

Bobbi Kristina Brown has passed away at a hospice center in Atlanta.

 

10 years ago

Vijimambo

BOBBI KRISTINA AMBAYE NI MTOTO WA WHITNEY HOUSTON AFARIKI DUNIA

Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku akivutiwa kuwa muigizaji na muimbaji mahiri na mwenye ubora wa aina yake.Msemaji wa familia Kristen Foster amesema Bobbi amefariki akiwa amezungukwa na familia yake ,''hatimaye...

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA WHITNEY HOUSTON, BOBBI KRISTINA ALAZWA HALI YAKE NI TETE

Bobbi Kristina mtoto wa Whitney Houston aliyezaa na Bobby Brown (picha juu) amekutwa ameanguka kifudifudi bafuni na kukimbizwa hospitali siku ya Jumamosi Januari 31.

Bobbi Kristina alikutwa kwenye bafu huku uso wake ukiwa ameinamia chini huku akishindwa kupumua na kukimbizwa hospitali ambapo madaktari wamejaribu kumrudisha katika hali yake ya kawaida ambayo sasa inaonekana ubongo wake unafanyakazi kwa asilimia ya chini kitu ambacho madaktari wamesema sio dalili nzuri kwa mgonjwa wa namna hiyo...

 

10 years ago

Bongo5

Polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwa mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina

Familia ya mtoto wa kike wa marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina imethibitisha kuwa polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwake baada ya kurudi kwa mara ya pili kufanya ukaguzi, TMZ imeripoti. Binti huyo mwenye miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ Jumamosi iliyopita akiwa amepoteza fahamu. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, siku moja kabla ya […]

 

10 years ago

GPL

FAMILIA ZAAMUA BOBBI KRISTINA AFE SIKU ALIYOKUFA MAMA YAKE WHITNEY HOUSTON

Bobbi Kristina akiwa na mama yake mzazi, Whitney Houston enzi za uhai wake. FAMILIA za Bobby Brown na marehemu Whitney Houston zimekubaliana kumwondolea Bobbi Kristina mashine inayomsaidia kupumua kesho, Jumatano ili afe tarehe sawa na ile ambayo mama yake mzazi, Whitney Houston alifariki. Nick Gordon na Bobbi Kristina Brown. Mjukuu wa Bobbi, Cissy Houston alitoa wazo hilo la Februari 11 wakati wa majadiliano… ...

 

10 years ago

Bongo5

Mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina bado yupo mahututi, ni baada ya kukutwa bafuni hapumui

Mtoto wa kike wa marehemu, Whitney Houston, Bobbi Kristina yupo mahututi na ubongo wake umedaiwa kushindwa kufanya kazi. Madaktari wamedai kuwa hiyo si dalili nzuri. Msichana huyo mwenye umri wa miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ uso wake ukiwa kwenye maji Jumamosi iliyopita na alikuwa hapumui. Alizinduka na kupelekwa hospitali ambako amelazwa kwenye wodi ya […]

 

10 years ago

Vijimambo

FAMILIA ZAAMUA BOBBI KRISTINA AFE LEO JUMATANO SIKU ALIYOKUFA MAMA YAKE WHITNEY HOUSTON

Bobbi Kristina akiwa na mama yake mzazi, Whitney Houston enzi za uhai wake.
FAMILIA za Bobby Brown na marehemu Whitney Houston zimekubaliana kumwondolea Bobbi Kristina mashine inayomsaidia kupumua leo, Jumatano ili afe tarehe sawa na ile ambayo mama yake mzazi, Whitney Houston alifariki.

Mjukuu wa Bobbi, Cissy Houston alitoa wazo hilo la Februari 11 wakati wa majadiliano yaliyofanyika wikiendi iliyopita kati ya familia ya Whitney Houston na Bobby Brown kwenye Hospitali ya Chuo Kikuu cha Emory...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani