Bunge la Bajeti 2015/16 kuanza leo
MKUTANO wa 20 na wa mwisho wa Bunge la 10 la Tanzania, unatarajiwa kuanza leo mjini Dodoma, ambapo wabunge watajadili na kupitisha Bajeti ya Serikali, pia maswali 295 ya msingi yataulizwa na kupewa majibu na hatimaye bunge hilo kuvunjwa rasmi Juni 27, mwaka huu kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Bunge la Bajeti kuanza Mei 6
MKUTANO wa Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 utaanza Mei 6 hadi Juni 27, mwaka huu mjini Dodoma huku bajeti kuu ya Serikali ikitarajiwa kusomwa Juni 12. Hayo yalielezwa bungeni...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Bunge la bajeti kuanza kujadili miswada saba
11 years ago
Michuzi
Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge leo.



11 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kamati ya Bunge ya Bajeti kuanza vikao vyake Oktoba 13 hadi Novemba 2 mwaka huu jijini Dar
Kamati Oct 2014.doc by moblog
11 years ago
Michuzi08 May
11 years ago
MichuziBUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI 2014/2015
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi yenye jumla ya Shilingi 1,219,717,592,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2014/15.
Hatua hiyo ya Bunge kupitisha Bajeti hiyo itawezesha Wizara ya Ujenzi kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuendeleza Sekta ya Ujenzi hapa nchini.
Akiwasilisha hotuba ya bajeti hiyo jana, Waziri wa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Habarileo06 May
Bunge fupi la Bajeti leo
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo linaanza kikao chake cha Bajeti, ambapo muda wa kuchangia na kuwasilisha bajeti za wizara mbalimbali, umepunguzwa.
11 years ago
Dewji Blog06 May
Bunge la Bajeti 2014/2015: lisiwe la Vurugu, Matusi na Kejeli
Tamko Vikao Vya Bajeti 20142015 by moblog