CHADEMA YAENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIJINI MWANZA
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar Salum Mwalim akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika hivi karibuni mjini Magu, mkoani Mwanza, ikiwa ni sehemu ya mfululizo wa mikutano ya chama kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kujiandaa kupiga kura uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu akihutubia mkutano wa hadhara ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9Xb5Tkxx60I/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QToasQsruHc/VYHlIEqw0kI/AAAAAAAARMQ/cHSTN_av1j0/s72-c/E86A0679%2B%2528800x533%2529.jpg)
NASSARI AENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QToasQsruHc/VYHlIEqw0kI/AAAAAAAARMQ/cHSTN_av1j0/s640/E86A0679%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5z9YxFIi0Gw/VYHlIVP_iuI/AAAAAAAARMM/vyKSW3kb7YE/s640/E86A0705%2B%2528800x533%2529.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Nassari atumia Helikopta kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura jimboni kwake
![](http://4.bp.blogspot.com/-nthjGqrd-RA/VYHg27rg-kI/AAAAAAAARJs/5tND1sQl5dE/s640/E86A0545%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X66WMHKjTHA/VYHg2Gyks5I/AAAAAAAARJk/NiHifZm4vuc/s640/E86A0566%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zk8fNPYota0/VYHg2ok9miI/AAAAAAAARJo/Hq0wTj9yTWI/s640/E86A0568%2B%2528800x450%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C2t5Z4fj5Ns/VYHg4xXaUZI/AAAAAAAARJ8/VS-Kwjw0OhM/s640/E86A0578%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s72-c/A%2B1.jpg)
MBUNGE NASSAR ATUMIA HELKOPTA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s640/A%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kKb04KzWZjQ/VYJTaMnzlmI/AAAAAAABAO4/Bsc7DJtVZmc/s640/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kWAiMKGaAN4/VYJTdre3qOI/AAAAAAABAPo/sMxr8xPhOg4/s640/A%2B9.jpg)
5 years ago
MichuziTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamiiTUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesema imeridhishwa na muamko wa wananchi katika mikoa yote ambao wameuonesha kwenye uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Kwa mujibu wa NEC Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani walikuwa wamepewa fursa hiyo ya kujiandikisha kuanzia Februari 14 hadi Februari 20 mwaka huu ambapo wananchi wengi wa mikoa hiyo wamejitokeza huku wale ambao bado hawajiandikisha...
10 years ago
Michuzi28 Apr
MBUNGE NATSE AWATAKA WANANCHI WA KARATU KUJITOKEZA KWA WINGI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![SAM_2291](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zOMv8JkVCbFSkBbIAnHyfn0960gF-QbzBd8w4sg7JjUqZw8tubgWnNuwKX3Vuc-h0ixUIyEP40U7zdzHt-cUkkI451MECd9ayqolqQeVWiMDPF8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2291.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PmYbB_Xa1y8/VTOJOsl63pI/AAAAAAAAaKI/oHFPf0hv7R8/s1600/2.jpg)
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s72-c/M%2B1.jpg)
WANANCHI JIJINI ARUSHA WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s640/M%2B1.jpg)
Wakazi wa Kata ya Osunyai jijini Arusha wakinawa mikono kujikinga dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona kabla ya kuingia kwenye vyumba kujiaandikisha na kubadilisha taarifa zao katika mpango wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kuboresha daftari la kudumu la wapigakura katika mikoa 12 ya mwanzo kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3326QnCiu4Y/XpsVroUR1BI/AAAAAAAAMyY/oFx3zF0u588DXJdRrA8UfakxW5e22-6swCLcBGAsYHQ/s640/M%2B2.jpg)
Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi Arusha Mjini,Dk Maulid Madeni akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa uandikishaji wapigakura jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PnKYUQQqml0/XpsVv-ZFSuI/AAAAAAAAMyg/Y7he80nsK3MwSG3zLeM_Xc54ATxPMANPACLcBGAsYHQ/s640/M%2B3.jpg)
Wananchi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zjoiFG0Wjus/VUNcNMRL6aI/AAAAAAABfbs/H1Zkypnp5r4/s72-c/20150501034512.jpg)
WAFANYAKAZI WAHIMIZWA KUJITOKEA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zjoiFG0Wjus/VUNcNMRL6aI/AAAAAAABfbs/H1Zkypnp5r4/s1600/20150501034512.jpg)