Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chaumma waja na vipaumbele vitatu

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe ameahidi vipaumbele vitatu, ajira, afya bure na elimu kwa Watanzania wote endapo atachaguliwa kuongoza nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Briefly about Chaumma

Chaumma, which got permanent registration from the office of the registrar of political parties in June 2013, has over 1.5 million members across the country, according to the party’s presidential candidate, Mr Hashim Rungwe.

 

9 years ago

Mwananchi

Chaumma kufuta nafasi za Ma-DC, RC

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashimu Rungwe ameahidi kuwaondoa wakuu wa mikoa na wilaya ili aanzishe Serikali ya majimbo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chaumma yapata viongozi wapya

MWENYEKITI wa Chama cha Ukombuzi wa Umma (Chaumma), Hashim Sipunda, amesema hana imani na Tume ya Uchaguzi, hivyo kuomba kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo itatenda haki. Sipunda alitoa...

 

9 years ago

TheCitizen

Jobs top Chaumma agenda

The opposition Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chauma) yesterday launched its presidential campaign, saying employment would top its agenda if elected in the October General Election.

 

10 years ago

GPL

MGOMBEA URAIS WA CHAUMMA ACHUKUA FOMU

Ofisa wa NEC, Adam Nyando (kushoto) akimkabidhi fomu ya urais, Hashim Rungwe. Ofisa wa NEC, Crecencia Mayalla (kushoto), akimpatia maelekezo mgombea namna ya kujisajili katika daftari la wagombea.…

 

9 years ago

Mwananchi

Chaumma waahidi viwanda kila mkoa

Mgombea urais kwa tiketi ya Chaumma, Hashim Rungwe amesema Sera za chama hicho ni kujenga viwanda katika kila mkoa ili kupunguza tatizo la ajira.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Chaumma to Cut Power Tariffs, Build Industries


Chaumma to Cut Power Tariffs, Build Industries
AllAfrica.com
Chama Cha Ukombozi (CHAUMMA) on Wednesday launched its election campaigns in Dar es Salaam with its Union presidential aspirant Mr Hashimu Rungwe promising to lower electricity tariffs to make them affordable to all citizens. Unveiling his party's ...

 

10 years ago

Vijimambo

Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) chamtangaza mgombea wa Urais Zanzibar

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma Zanzibar (CHAUMMA) Faki Salum Abdalla akitoa salamu za Chama hicho wakati wa Mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) wa kumtambulisha Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho katika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Mjini Zabnzibar.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza mgombea nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia CHAUMMA katika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Mjini Zanzibar.Katibu Mkuu wa CHAUMMA...

 

9 years ago

Vijimambo

MJUE HASHIM RUNGWE MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHAUMMA

HISTORIA YAKE

Hashim Rungwe Spunda, ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania akifanya kazi zake kama wakili binafsi. Alizaliwa tarehe 01 Januari 1949 katika eneo la Ujiji, mkoani Kigoma (Ametimiza miaka 66 mwezi Januari mwaka huu).

Hashim alianza elimu ya msingi katika shule ya msingi Kipampa iliyoko mkoani Kigoma kati ya mwaka 1959 – 1966 na akajiunga na masomo ya sekondari katika Shule ya Sekondari ya Chuo Kikuu cha Cambridge kati ya mwaka 1967 – 1969 na kuhitimu kidato cha nne, kabla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani