Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chiku Abwao avinjari viwanja vya Bunge

Mbunge wa Chadema, Chiku Abwao

Mbunge wa Chadema, Chiku Abwao

NA MWANDISHI WETU, DODOMA

WAJUMBE wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wameendelea kumiminika mjini hapa, unakoendelea mkutano wa Bunge Maalum la Katiba, ambao umoja huo umesusia.

Jana Mbunge wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), alionekana ndani ya viwanja vya Bunge.

Hata hivyo, mbunge huyo alisema alifika kwenye viwanja hivyo kwa lengo la kuchukua gari lake alilokuwa ameliacha na si kuudhuria mkutano wa Bunge la Katiba unaoendelea.

Alisema amekuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chiku Abwao ajibu mapigo

MBUNGE wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), amewashukia wanaomzushia kuwa amewasaliti wenzake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), na kuhudhuria vikao vya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini hapa....

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa shule ya sekondari Idodi amkimbia mbunge Chiku Abwao

IMG_20150210_150420

 Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Iringa, Chiku Abwao akikagua jengo la shule sekondari Idodi lililokumbwa na ajali ya moto.

IMG_20150210_150620

IMG_20150210_151029

Mbunge  CHIKU ABWAO akiwa katika eneo la nje ya jengo lililoungua

Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) CHIKU ABWAO alisikitiswa na uongozi wa shule  ya sekondari ya idodi kushindwa kumpokea kama mbunge na mama aliyeguswa na ajali ya moto katika shule kwa kuwa alikuwa ameshatoa taarifa...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO

 Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange (kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa mjini, Chiku Abwao baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo Dar es Salaam leo mchana. Mbunge Chiku Abwao (kulia), akionesha kadi ya chama cha ACT-Wazalendo baada ya kukabidhiwa.
  Mbunge Chiku Abwao (kulia), akizungumza na wanahabari baada ya kukabidhiwa kadi ya chama cha ACT-Wazalendo.

 

10 years ago

Michuzi

CHIKU ABWAO: HERI YA MONICA MBEGA WA CCM KULIKO MCHUNGAJI MSIGWA WA CHADEMA NAOMBA NICHAGUENI MIMI SAFARI HII

MGOMBEA  Ubunge wa jimbo la Iringa Mjini kupitia ACT Wazalendo Bi Chiku Abwao(pichani) amesema heri ya miaka mitano ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Mobica Mbega ( CCM) kuliko miaka mitano ya Mchungaji Peter Msigwa ( Chadema)hivyo ametawa mwaka huu wananchi kumchagua yeye
Akizungumza katika mkutano wake wa kampeni za Ubunge jana  kata ya Kihesa alisema iwapo atakuwa mbunge wao atahakikisha anakuwa mbunge wa mfano wa kuwaletea maendeleo sahihi.
Kwani alisema kuwa historia ya jimbo hilo...

 

11 years ago

Michuzi

taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzake Said Mtanda (kulia) jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.  Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe Said Mtanda na wenzake  jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.   Mjumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum  la Katiba  Joshua Nasari(kushoto) akibadilishana mawazo...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WAFURIKA BANDA LA BUNGE KUPATA ELIMU KUHUSU KAZI ZA BUNGE KATIKA VIWANJA VYA SABASABA

Banda la Bunge katika Viwanja vya Sabasaba Wananchi wakiangalia picha za Maspika ambao walishawahi kuongoza Bunge tangu enzi za ukoloni hadi sasa. Majengo ambayo wamewahi kutumiwa na Bunge nayo yawa kivutio. Hapa Wananchi wakiangalia picha hizo katika Banda la Bunge. Afisa wa Bunge Ndg. Dickson Bisile akigawa vipeperushi vya Historia ya Bunge kwa wananchi wanaoingia katika Banda la Bunge kupata Elimu kuhusu Bunge. Afisa wa Bunge Bi. Asia Minja akitoa maelezo kuhusu hatua mahususi ambazo...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Sata ukiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia leo tayari kwa misa Maalum iliyoandaliwa kabla ya mazishi kufanyika hapo kesho.Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia tayari kushiriki Misa Maalum ya Kumwombea aliyekuwa Rais wa Zambia Mhe. Michael Chilufya Sata kabla ya maziko yake kufanyika hapo kesho.Aliyekuwa Rais wa Serikali ya Awamu wa Zambia Mhe. Lupia Banda...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kutoka katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo

IMGL8202

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

IMGL8225

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, Bungeni mjini Dodoma.

IMGL8237

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Ilala na Mwenyekiti wa Bunge Azan Zungu Bungeni mjini Dodoma.

IMGL8219

Waziri  wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe akiwasilisha makadirio ya Matumizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani