Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF yapata wanachama wapya 891

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.CHAMA cha Wananchi (CUF) mjini Lindi kimepata wanachama wapya kutoka CCM wapatao 891 kuanzia mwezi Desemba mwaka jana hadi Februari mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chaumma yapata viongozi wapya

MWENYEKITI wa Chama cha Ukombuzi wa Umma (Chaumma), Hashim Sipunda, amesema hana imani na Tume ya Uchaguzi, hivyo kuomba kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo itatenda haki. Sipunda alitoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAHLISO yapata viongozi wapya

JUMUIA ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), imepata uongozi mpya. Katika uchaguzi huo Musa Mudede, Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Bugando cha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

KACU yapata viongozi wapya

CHAMA Kikuu cha Ushirika wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga (KACU), kimepata viongozi wapya wa Bodi huku mjumbe mmoja akitaka kujivua madaraka hayo ya ujumbe baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha...

 

10 years ago

Habarileo

NHIF yasajili wanachama wapya

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Morogoro umewasajili wanachama 53 wa Muungano wa Vikundi vya Wajasiriamali wa Manispaa ya Morogoro (SILC).

 

9 years ago

Michuzi

TASO YAPATA VIONGOZI WAPYA WA TAIFA

Moja ya vyama muhimu katika kuleta mapinduzi ya Kilimo Nchini Tanzania ni Tanzania Agricultural Organisation (TASO). Pamoja na majukumu mengine, TASO ndio wamiliki na wasimamiaji wamaonyesho ya nanenane Nchini Tanzania. 

Hadi sasa TASO ina viwanja vitano vya maonyesho ya nanenane kwenye kanda za Kaskazini-Arusha, kandayalati –Dodoma, Mashariki – Morogoro, NyandazaJuu –Mbeya na Kanda ya Kusini – Lindi. Mfumo wa utendaji wa TASO umeanzia kwenye Kata, Wilaya, Mkoa, Kanda naTaifa. 
Juhudi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Ukonga yapata viongozi wapya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam kimepata viongozi wapya baada ya uchaguzi uliyofanyika hivi karibuni. Viongozi wapya waliyochaguliwa ni pamoja na Thomas Nyahende...

 

10 years ago

Michuzi

Kamisheni ya Wanariadha yapata viongozi wapya

KAMISHENI ya Wachezaji wa Riadha, imepata viongozi wapya watakaoiongoza kwa miaka minne katika uchaguzi uliofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa shule ya Filbert Bayi, Mkuza Kibaha mkoani Pwani.
Kuundwa kwa Kamisheni za wachezaji kunatokana na agizo la Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC), ambako Bara la Afrika kupitia Anoca, iliagiza wanachama wake kutekeleza.
Lakini licha ya agizo hilo kutolewa, vyama na mashirikisho mengi yameshindwa kusimamia uanzishwaji wa Kamisheni hizo, ambazo ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunda yapata walimu wapya 223

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imeipatia Wilaya ya Bunda jumla ya walimu wapya 223, wakiwemo wa sekondari 137 na shule za msingi 86. Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yapata wafuasi wapya wa kanda yao

Islamic State imekubali ahadi ya wanamgambo wa kutoka kusini mashariki mwa Asia na Ulaya kusini magharibi kujiunga na IS.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani