Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


David Rudisha amaliza wa tatu

Nijel Amos amzidi kasi ya kuufukuza upepo David Rudisha umbali wa mita 800 mjini Zurich

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

David Rudisha ashindwa nyumbani

Bingwa wa mbio za Olimpiki anayeshikilia rekodi ya dunia katika mbio za mita 800 David Rudisha alishindwa kwa mara ya kwanza nyumbani Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

David Rudisha kurejea uwanjani

Rudisha amezungumza na John Nene na kusema sasa yuko sawa na tayari kukimbia tena.

 

5 years ago

BBC

David Rudisha: Olympic 800m champion on personal struggles, and Tokyo comeback

They said David Rudisha outshone Usain Bolt at London 2012. He won his second 800m Olympic title in 2016. The years since have not been easy.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. 'Peoples Great Hall', jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo. jana Mei 20, 2015.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).

3

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAMU WA RAIS WA CHINA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, na mwenyeji wake Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakisimama kwa heshima wakati zikipigwa nyimbo za Taifa la Tanzania na China, kwenye mapokezi yake katika Ukumbi Maalum wa Watu wa China, kwa ajili ya mazungumzo baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini Nchina.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na mwenyeji wake Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao,...

 

9 years ago

BBC

Rudisha wins second world title

Olympic champion David Rudisha of Kenya wins his second world title with a commanding performance in the 800m final.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rudisha aambulia fedha Glasgow

Bingwa wa mbio za mita 800 mkenya David Rudisha alishindwa na Nijel Amos wa Botswana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani