DCB yang'arisha Kongamano la Wajasiriamali Dar
Meneja Masoko na Bidhaa wa Benki ya Biashara ya Dar es Salaam (DCB), Boyd Mwaisame, akitoa maelezo kwa wateja waliohudhuria Kongamano la Wajasiriamali Wanawake, kwenye viwanja vya Makumbusho Dar es Salaam, namna benki hiyo inavyoendesha huduma zake kadhaa, ikiwemo huduma za akiba, DCB Mobile, DCB jirani na utaratibu wa jinsi ya kukopa na masharti ya huduma za mikopo hasa SGL na Super SGL.
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania