Diego Gutierrez kuondoka Tigo Tanzania na kupandishwa cheo Millicom
Meneja Mkuu wa Tigo, Deigo Gutierrez (kulia), anayeachia nafasi yake baada ya kuitumikia kampuni kwa miaka mitano, akiwa katika picha na mrithi wake Bi. Cecile Tiano ambaye atakuwa Kaimu Meneja Muendeshaji wa Tigo. Gutierrez amepandishwa cheo kuwa Mkuu wa Huduma za Kutuma na Kupokea Fedha kwa bara la Latin Amerika.
Tigo imetangaza leo kwamba Meneja Mwendeshaji wa kampuni hiyo, Diego Gutierrez, atang’atuka kutoka katika nafasi yake Aprili 1 mwaka huu kwa ajili ya majukumu mengine aliyopewa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 May
Tigo’s parent company Millicom making Internet more accessible to users across the world
Tigo Zanzibar branch.
Tigo shop Mbagala.
By Our Reporter
During its Q1 2015 Results, released in April 2015, Millicom says it saw a 22 percent increase in its revenue which stood at $1.71 billion, and 1.14 million mobile net adds, mostly driven by Tanzania, Colombia, Chad and Honduras.
Millicom which is the parent company to Tigo Tanzania, announced that its overall data penetration increased to 27.6percent of its mobile customer base, an increase of 0.5 percentage points compared to the...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Millicom kuanza utekelezaji wa mkakati wake wa uwekezaji kwa kampuni ya simu ya Zantel Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akijibu maswali ya waandishi (hawapo pichani) katika mkutano huo. Kushoto kwake ni Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi ya Zantel na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.
Mwenyekiti wa Bodi, Rachel Samren akizungumza na waandishi wa habari. Katikakati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.
Bi Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi...
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Esteban Gutierrez:asajiliwa - Ferrari
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...
11 years ago
HumanIPO09 Jul
Millicom launches mobile learning facilities in Rwanda
HumanIPO
HumanIPO
International telecommunications company Millicom has announced the launch of EduMe English in Rwanda, providing Tigo subscribers with an on demand or subscription service for learning the English language. The programme in Rwanda will be ...
Millicom rolls out mobile education serviceTotal Telecom
Millicom expanding 'EduME' mobile service to TanzaniaITWeb Africa
Millicom launches EduMe English mobile coursesTelecompaper...
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.
Tigo Tanzania leo imekuwa...
10 years ago
Global News Network13 May
Tigo Tanzania announces management continuity
spyghana.com
Global News Network
Warning: Invalid argument supplied for foreach() in similarterms_taxonomy_node_get_terms() (line 517 of /home/content/01/11511701/html/sites/all/modules/similarterms/similarterms.module). Warning: array_keys() expects parameter 1 to be array, null given ...
Diego Gutierrez Assumes Post As New GM of Tigo Tanzaniaspyghana.com
all 3