Diwani wa Kata ya Endiamtu, Wilaya ya Simanjiro awataka wananchi wake kujiunga na CHF
Diwani wa Kata ya Endiamtu, Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Lucas Zacharia akiwahamasisha wakazi wa kitongoji cha Kilimahewa kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF) baada ya diwani huyo kuwachangia sh 500,000 za kaya 50 za kata hiyo.
Ili kuwahamasisha wananchi wajiunge na mfuko wa afya ya jamii (CHF) Diwani wa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Lucas Zacharia amelipia sh500,000 za gharama za matibabu, kwa kaya 50 za watu 300 wa kata hiyo.
Akizungumza jana kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRC RUVUMA AWATAKA VIONGOZI KAMATI YA FEDHA ,UCHUMI NA MIPANGO NYASA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF )
![](http://3.bp.blogspot.com/-w3m-sm2V0hI/TqFXhmsdVrI/AAAAAAAANQ0/2K89JuWBGvA/s1600/RC%2Baksisitiza%2Bjambo%2Bnamtumbo.jpg)
mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said...
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
DC aagiza watendaji kujiunga CHF kuvutia wananchi
Kaimu meneja mfuko wa taifa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Adamu Salum,akizungumza siku ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha wananchi wa kijiji cha Simbanguru wilayani Manyoni kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF),juzi.Amedai kwamba ugonjwa haubagui wala hautoi taarifa ya ujio wake,hivyo kujiweka upande salama,ni kujiunga na mifuko ya afya ukiwemo wa CHF.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
MKUU wa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida Fatma Hassan Toufiq ameagiza viongozi wa ngazi mbalimbali...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Wakazi wilaya ya Kakonko watakiwa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF-Kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-OqqTJhGoJO4/VVI9UPMg7XI/AAAAAAAAMmI/tlEmmOCZ5Co/s640/CHF%2BKKK.2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jZT_om5BzVw/VVI945lWibI/AAAAAAAAMmg/0jYxVTNN_Uw/s640/CHF%2BKKK.4.jpg)
11 years ago
MichuziWANANCHI WA MKOA WA LINDI WAASWA KUJIUNGA NA CHF-ZAMBI
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Godfrey Zambi wakati wa maonesho ya Nane Nane Kitaifa yanayoendelea mkoani Lindi ambapo Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c5ckI_Cq4ug/VT_Boe6bb6I/AAAAAAAAr4E/eBmTk8oC5VU/s72-c/MMGL0254.jpg)
NHIF YAENDELEA KUWAHAMASISHA WANANCHI WA KILWA KUJIUNGA NA CHF
![](http://1.bp.blogspot.com/-c5ckI_Cq4ug/VT_Boe6bb6I/AAAAAAAAr4E/eBmTk8oC5VU/s1600/MMGL0254.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EouZHrDIhtU/VT_FxOA06VI/AAAAAAAAr5g/8XGQNXyEZCU/s1600/MMGL0239.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WXsMGaxiHVM/XuUNFsYnILI/AAAAAAALts8/1hTk8tFdfbQpG_goTxCSv7z7nOHoOCAVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0024.jpg)
WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
NHIF yaendelea na kampeni ya kuhamasisha wananchi kujiunga na CHF katika kijiji cha Chumo Kilwa
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) Bw, Rehani Athumani akikabidhi mashuka kumi kwa Khatib Said mwenyekiti wa kijiji cha Chumo Wilayani Kilwa mkoani Lindi yaliyotolewa na mfuko huo kwa ajili ya zahanati ya kijiji hicho wakati wa mwendelezo wa kampeni ya uhamasishaji wananchi kujiunga na huduma ya Afya ya Jamii CHF inayotolewa na NHIF, Ambapo wananchi mbalimbali walipima afya kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza na kujiunga na huduma hiyo kwenye uwanja wa shule...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ve0wVtFgBTE/VkQ7ZXe2QxI/AAAAAAAIFYQ/tCIHNCIUU08/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...