Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Nigeria yafunga Shule hadi Oktoba

Nigeria imeahirisha siku ya ufunguzi wa shule hadi Oktoba ili kuzuia kuenea zaidi kwa Ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona. 





DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.

Hatua hizo...

 

10 years ago

Mwananchi

Dili za kuishia Oktoba hadi lini?

Mi kicheko tu, kwa kuwa nawaona wanatengeneza fedha inayoisha Oktoba. Usishangae kwa kuwa hadi kufikia hiyo Oktoba na kipaji nacho kitakuwa kimeshachuja.Kwa nini? Tazama luninga uone jinsi hawa ndugu zetu wasanii wanavyong’ara kwenye mikutano inayoshona kwa sana ya hao jamaa wanaonyatia nyumba kuu. Isitoshe nyomi nyingine inasababishwa na majina makubwa ya hao wasanii wa runinga na Bongo Fleva.

 

9 years ago

Mwananchi

Sheria ya uchaguzi, haki ya mpigakura hadi Oktoba 25

Zimebaki  siku 24 kabla ya Mtanzania mwenye vigezo kutumia haki yake kumchagua viongozi anaowataka kumuongoza na kusimamia  rasilimali za Taifa kwa wa miaka mitano ijayo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Tanzania yafunga shule zote nchini kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

Tanzania yatangaza kufunga shule zote kuanzia za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi

Shule ambazo zilikuwa tu zimefunguliwa zimelazimika kufunga tena baada ya maambukizi kuongezeka mno

 

11 years ago

Michuzi

WATU 379 WAAMBUKIZWA VVU IRINGA OKTOBA HADI DISEMBA 2013

Mstahiki meya wa halmashauri ya manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akifungua kikao kwa maombi katika baraza la madiwani lilofanyika mwishoni mwa wiki kushoto ni naibu meya Gervas Ndaki na kulia  Mkurugen Theresia  Mahongo kikao kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Manispaa. (picha na Denis Mlowe)
Juu na chini ni Madiwani wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakiwa katika kikao cha baraza kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri mwishoni mwa wiki.  Habari na picha na Denis...

 

10 years ago

Dewji Blog

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani