Ebola:Nigeria yafunga Shule hadi Oktoba
Nigeria imeahirisha siku ya ufunguzi wa shule hadi Oktoba ili kuzuia kuenea zaidi kwa Ebola
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona.
DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.
Hatua hizo...
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Dili za kuishia Oktoba hadi lini?
Mi kicheko tu, kwa kuwa nawaona wanatengeneza fedha inayoisha Oktoba. Usishangae kwa kuwa hadi kufikia hiyo Oktoba na kipaji nacho kitakuwa kimeshachuja.Kwa nini? Tazama luninga uone jinsi hawa ndugu zetu wasanii wanavyong’ara kwenye mikutano inayoshona kwa sana ya hao jamaa wanaonyatia nyumba kuu. Isitoshe nyomi nyingine inasababishwa na majina makubwa ya hao wasanii wa runinga na Bongo Fleva.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Sheria ya uchaguzi, haki ya mpigakura hadi Oktoba 25
Zimebaki  siku 24 kabla ya Mtanzania mwenye vigezo kutumia haki yake kumchagua viongozi anaowataka kumuongoza na kusimamia rasilimali za Taifa kwa wa miaka mitano ijayo.
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Serikali ya Tanzania yafunga shule zote nchini kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
Tanzania yatangaza kufunga shule zote kuanzia za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi
Shule ambazo zilikuwa tu zimefunguliwa zimelazimika kufunga tena baada ya maambukizi kuongezeka mno
11 years ago
Michuzi03 Feb
WATU 379 WAAMBUKIZWA VVU IRINGA OKTOBA HADI DISEMBA 2013
10 years ago
Michuzi16 Oct
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kamati ya Bunge ya Bajeti kuanza vikao vyake Oktoba 13 hadi Novemba 2 mwaka huu jijini Dar
Kamati Oct 2014.doc by moblog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania